Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,127
- 3,710
Nilimuacha home mpenz wangu tukiwa tumepeana ahadi za kuoana alikuwa hana tendency ya kuniomba pesa na mm huwa napenda mwanamke wa dizain hiyo kwani nilikuwa nampa pesa mara kwa mara bila hata ya yeye kuniomba ghafla nikaondoka kikazi na ndipo mawasiliano yalipo kuwa magum ndani ya miezi sita. Hasa saiv nmerud nkawa nmemtafut nkaona love limerud nkawa nmempatia sim yang maana hakuwa na sim tena
Chakushangaza baada ya kumpa sim mizinga ikaanza mara anaomba pesa ya viatu 25000 mara kunanguo anahitaj 26000 sijakaa sawa ananiambia kuwa kunanguo ameipenda 45000 ndipo nlpo shangaa mpenz wang hakuw hiv mbona kabadilika hv? chatting zenyewe nlzo kua nachat nae hazioneshi n kama mtu na mpenz wake yaan nlcho amua n kumuacha tu maana siku yakwanza ilkuw aliniulza hujaja na pesa? akaanza nisachi hadi mfukoni ndio kukuta 4000 na kadi ya benk na alvyo niulza tena mbona hauna pesa nkamwambia huwa sitembei napesa mara nying labda benk. Isitoshe ivo viatu na nguo nilimuahid kumnunulia alipo kuja na kipya kuwa kunanguo kaipenda 45000 ndipo nlpo shtuka.
Hapo nmefupisha tu na ndio yaliyo nikuta hayooooo.
Chakushangaza baada ya kumpa sim mizinga ikaanza mara anaomba pesa ya viatu 25000 mara kunanguo anahitaj 26000 sijakaa sawa ananiambia kuwa kunanguo ameipenda 45000 ndipo nlpo shangaa mpenz wang hakuw hiv mbona kabadilika hv? chatting zenyewe nlzo kua nachat nae hazioneshi n kama mtu na mpenz wake yaan nlcho amua n kumuacha tu maana siku yakwanza ilkuw aliniulza hujaja na pesa? akaanza nisachi hadi mfukoni ndio kukuta 4000 na kadi ya benk na alvyo niulza tena mbona hauna pesa nkamwambia huwa sitembei napesa mara nying labda benk. Isitoshe ivo viatu na nguo nilimuahid kumnunulia alipo kuja na kipya kuwa kunanguo kaipenda 45000 ndipo nlpo shtuka.
Hapo nmefupisha tu na ndio yaliyo nikuta hayooooo.