Goti la samaki
Senior Member
- Jan 3, 2018
- 144
- 76
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu,
Kama kichwa cha habari kinavojieleza. Naombeni ushauri, nina mpenzi wangu leo mwaka wa pili hatujawahi kushirikiana kimapenzi anasema hadi tumalize chuo, anadai yeye ni bikra. Sasa hivi tupo Second Year.
Je, niachane nae nichukue chombo kipya First Year au niendeleee nae?
Kama kichwa cha habari kinavojieleza. Naombeni ushauri, nina mpenzi wangu leo mwaka wa pili hatujawahi kushirikiana kimapenzi anasema hadi tumalize chuo, anadai yeye ni bikra. Sasa hivi tupo Second Year.
Je, niachane nae nichukue chombo kipya First Year au niendeleee nae?