Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
alimfeel na kumpenda yaani moyo ulikuwa relaxed sijui hata nikuelezeje ndo matokeo hayoKijana ebu jaribu kutazama/kufikilia nje ya box....yale ambayo wewe unaona kinyaa kwenye mapenzi unaweza ukakuta ndio yeye anayapenda.....Jaribu kumwandaa kisaikolojia...wanawake wote regardless age na kipato uwa wanaishi kwa hisia.....tafuta muda mwingi wa kumwandaa usikimbilie tu....kale kamchezo.Mwanaume hasifiwi kula tu.......SMILE....HII SI KWELI....(mwanamke akisex na mtu ambae hampendi/kumfeel no orgasm at all....)Inategemeana na mwaume unayekutana naye....Nina rafiki yangu mmoja alizaa na Malaya mmoja(anayejiuza kabisa).......lakini alikolea mavitu ya mshikaji mpaka akawa hataki pesa tena.........unajua kwanini?