Mm ni mvulana, nampnz wangu nimedumu nae karibia mwaka 1, lakn kama mwezi umepita mpnz wangu ame nibadilikia sana, kwasabu nampenda nimevumilia mengi sana, cha kuchangaza nimeongea nae, ana niambia hana hisia na mm tena! Hawezi fanya chochote na mm, Sijawa mkosea pia sistahili adhabu anayo nipa..nmejaribu kumpotezea nimeshindwa, hata kuanzisha uhusiano na mtu mwingine naona ntakuwa najidanganya.. nampenda sana, roho inauma, naumia sana. Wapendwa nakosa furaha hata kula naona tabu, nina miaka 24 yeye ana miaka 21 , nime maliza chuo na yeye ndio ameingia kwaka wa tatu, kumpotezea siwezi naombei ushauri jinsi ya kurudisha hisia zake kwangu!..nina hali mbaya sana
samaha kwa kuyatamka haya maneno........ that girl is very stupid ever, anadai hana hamu wala hisia juu yako halafu.... anafanya hayo?
Sasa kaka, huu ni ushauri wangu wa mwisho....... make call divert for her numbers, make sure you set your phone to reject her call and sms all the time. Achana na huyo mpuuzi anarudisha nyuma maendeleo yako, badala ya kuwaza mawazo ya kimaendeleo, ya namna gani ujikwamue katika dimbwi la umaskini tulionao katika jamii yetu unakalia kuwaza mambo yake which are not productive in your life. ukishindwa kufanya hivyo omba msaada kwa rafiki wako wa karibu akusaidie kuset simu yako.........au call me 0775155411 ntakusaidia.
Vinginevyo kaka tujue tu moja kuwa bado una interest nae......kama yes....... basi vumilia matusi yake....... lakini kumbuka siku moja atakuonyesha jamaa zake wakiwa wamempanda wanamduuu..... hapo sasa presha yako haitokuwa ya kupanda tena bali ya kuteremka
we vp, keshapigwa kibuti uyu, mshauri achape lapa, vinginevo ajiandae kuwa mshika pemba watoto wa mjini wakikamua.
We dogo acha ufala wako usimpende demu kwa 100% hawa ni km kungulu leo mti uu kesho ule pia hawafugiki, dawa yao chapa mimba pia chapa lapa kwa mpigo
hata wanaume hawafugiki leo huyu kesho yule, wadada siku hizi wanatahadhari sana na wanaume, kuhusu mimba wala usijidanganye kabisa mdada wa siku hizi akibeba mimba kaamua wala sio kwamba umemkomoa, nani anabeba mimba za bahati mbaya sasa hivi labda ukutane na wale ziro brain.
Suprise, umenipa moyo kidogo na mimi, mana nina tatizo kama hilo, nimegombana na mpzn wangu jana nimejaribu kuplease but anaonekana kukaza usi wa kuvunja mahusiano, sababu ni kuwa namfuatilia sana analalamika kuwa hana uhuru kwani namfuatilia sana kwenye simu na facebook kwa watu anaochati nae, na sasa yuko chuo na nimemsaidia sana kipindi cha kwanza wakati anaripo chuo mana wazazi wake hawakuwa vizuri kifedha wakati huo, nimekuwa nae karibu sana kwa muda wote huo, kiukweli naweza kusema ni mwaminifu kiasi mana amekuwa muwazi kwangu kwa kila kitu, ila anapenda sana kuchati na nikifuatilia nakuta hakuna uhusiano wa kimapenz na hao anaochati, sasa amechukia na amewaomba ushauri wenzake huko hostel wakamshauri eti aachane na mimi kwani namfuatilia sana,na hii ni mara yapili kukosana but tulisameheana, nimemuomba msamaha sana lakini amekataa anasema ni mara pili nimerudia hivo ni tabia yangu hii anaogopa, jinsi alivyo ni mtu ambae si mwepesi wa kuchukia but ni mgumu kusamehe akishachukia, naombeni msaada wenu wadau, nimvutie muda afu nirudi tena kuomba msamaha au nipotezee? mana kwa sasa niko mabli nae ila nimemwahidi kwenda wikiend ijayo lakini amekataa, hayuko tayari kuonana na mimi, hivyo nimemuacha pending kwanza! nipeni ushaurini ndugu zangu,
samahani kwa kukurukia thread isiyo yangu,
Hapo kaka usifanye kitu ambacho yeye hakimvutii,ushagundua tatizo,ushauri wangu sikuzote kwa tatizo aina yako ni kufanya kitu kigumu,mpe mwanamke nafasi akumiss,kama unamganda sana jitahidi umpotezee,kwa wewe kaa kama siku nne usimtext wala kumkol,baada ya hapo call her,usiombe msamaha mara ya pili,huo ni ubwege,mkol jitahidi kumchekesha na usiongee suala la mapenzi,halafu mpotezee tena hata wiki ukiweza,na acha kumfatilia sana bwana,mwanamke hachungwi,wewe attitude yako ndo itamfanya atulie na ww na wala hutokua na wasiwasi.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
ahsante mdida tatzo, hisia zote zpo kwake jinsi ya kuamisha hisia kwenda kwa mwingine