nyiramba girl
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 778
- 4,167
hapo nimekuelewa mkuu hamna lingine hivo ndivyoMwenzio anakwambia mpe ndoa kwa kisingizio cha mimba
hapo nimekuelewa mkuu hamna lingine hivo ndivyoMwenzio anakwambia mpe ndoa kwa kisingizio cha mimba
Amekwisha ona hakuna dalili ya ndoa hapo, hiyo ni route B kufikia familia.jamani habarini ndugu,me ni mwanaume umri miaka 27,ninampenzi wangu,na tunapendana kinachonipa tabu ni kwamba mpenzi wangu anatamani sana nimpe mimba kabla ya ndoa,sasa najiuliza ananipenda kweli au anaweza kuw na lingine msaada
Mbona profile una miaka 24?jamani habarini ndugu,me ni mwanaume umri miaka 27,ninampenzi wangu,na tunapendana kinachonipa tabu ni kwamba mpenzi wangu anatamani sana nimpe mimba kabla ya ndoa,sasa najiuliza ananipenda kweli au anaweza kuw na lingine msaada
Both of 'emkaka are u robot or human being
Hakika wewe ni mbegu bora ila hapendi uwe mumewe na anapenda mimba yako tujamani habarini ndugu,me ni mwanaume umri miaka 27,ninampenzi wangu,na tunapendana kinachonipa tabu ni kwamba mpenzi wangu anatamani sana nimpe mimba kabla ya ndoa,sasa najiuliza ananipenda kweli au anaweza kuw na lingine msaada
mimba hana nlimpima juz,coz alikuwa anaumwa nkamfanyia check up mwili mzmaNi jambo la kheri lakini ni vizuri ukachukua tahadhari. Yawezekana kashatungwa kitu sasa anatafuta pa kutulia. Nin unapaswa kufanya tumia akili kubwa kumshawishi ukapime ujauzoto. Hapa unatakiwa kutumia akili na maarifa kidogo. Kama huwezi kumwambia direct mwambie mkapime malaria na choo. Hawa viumbe kwa sasa hawaaminiki.
Kumbuka mtoto ni Baraka ndani ya familia na kama ametaka mwenyewe fanya ivyo usije ukalea ya wenzako. Ni ushauri tu mkuu
Basi kama unashabaa lenga goli. Rahaa kulea damu yako buanamimba hana nlimpima juz,coz alikuwa anaumwa nkamfanyia check up mwili mzma
Ilo Jina Lako Linatisha Watu. Maana Kutunza MaCuties Ni Changamoto.Tena Princess.Me nasubir nimpate tu wa ukweli nianzishe urafiki