Mpenzi wangu anataka nimuhudumie kama mke wangu

Lea mtoto na mama yake weye zuzu!Sasa unataka nani awalee?Yesu mwenyewe alilelewa na Joseph baba mlishi na haikuleta ngendembwe!Tuliza kipago aka mpanti mkuu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Nina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.

Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.

Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.

Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.
Ukipenda boga penda na ua lake

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Lea mtoto na mama yake weye zuzu!Sasa unataka nani awalee?Yesu mwenyewe alilelewa na Joseph baba mlishi na haikuleta ngendembwe!Tuliza kipago aka mpanti mkuu.
Baba mtoto yupo tena tunaish wilaya moja tena kiuchumi yupo vizur
 
Nikwel bora ulee yatima, baba mtoto yupo tena ana uwezo , kama Baba mtoto alikuwa ana uwezo wakulipa kod ya nyumba nzima na kulimpia tiket ya ndenge kwenda kunifungua kitu gan kina mfanya kulipa Ada ya mwanae
Sasa wewe unakwama wapi baharia mwenzangu au umelogwa, mbona unatuaibisha wanaume?

Huyo achana nae tafuta hela za kutosha ila usipige nazo picha, baada ya hapo tafuta mwanamke ambaye Hana mtoto ukipata bikra itapendeza zaidi japo siyo lazima

Wakati unatafuta hela simaanishi kwamba usiwatafune hapana
Unakula kimyakimya mda huu kuwa kama ndege tai chezacheza huku unaangalia timing zako tu,

Katika huo mchakato ni marufuku kujenga kambi
 
Nina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.

Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.

Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.

Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.

Ukipenda boga penda na ua lake.

Kwani mademu ambao hawana watoto haukuwaona mpaka ukaenda kwake? Unaanzisha uhusiano na mtu wakati unajua matokeo yake yanaweza kuwa kupata mtoto au kupata NGOMA , Ukipata mtoto utajiandaa kwa malezi,sasa ushaanza kukimbia mapema majukumu je mkishapata familia si utamkimbia kabisa?
 
Nina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.

Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.

Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.

Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.
Kuna video za youtube zinafundisha kuhusu hilo suala, nenda kagoogle "never date a single mom"
 
Ukipenda boga penda na ua lake.

Kwani mademu ambao hawana watoto haukuwaona mpaka ukaenda kwake? Unaanzisha uhusiano na mtu wakati unajua matokeo yake yanaweza kuwa kupata mtoto au kupata NGOMA , Ukipata mtoto utajiandaa kwa malezi,sasa ushaanza kukimbia mapema majukumu je mkishapata familia si utamkimbia kabisa?
Na Mimi Nina mtoto tatizo yeye ana taka nilimpie mwanae Ada kubwa kuliko mwanangu
 
Sasa wewe unakwama wapi baharia mwenzangu au umelogwa, mbona unatuaibisha wanaume?

Huyo achana nae tafuta hela za kutosha ila usipige nazo picha, baada ya hapo tafuta mwanamke ambaye Hana mtoto ukipata bikra itapendeza zaidi japo siyo lazima

Wakati unatafuta hela simaanishi kwamba usiwatafune hapana
Unakula kimyakimya mda huu kuwa kama ndege tai chezacheza huku unaangalia timing zako tu,

Katika huo mchakato ni marufuku kujenga kambi
Bahar najiona kama namikosi yan kila dem nikimpata lazma anakuwa kasha zalishwa
 
Na Mimi Nina mtoto tatizo yeye ana taka nilimpie mwanae Ada kubwa kuliko mwanangu

Mueleweshe uwezo wako ulivyo ,kama ni hivyo usitanue msuli wakati upaja mdogo....usisite kumsaidia mtoto wa mke wako huyo ni mwanao....what goes around comes round maisha mafupi ,ukisaidia watoto wa wengine pia wako watasaidia pia.(karma)
 
Nina mpenzi wangu ana mtoto mmoja ambaye alizaa na mwanaume mwingine na huyo baba mtoto kwa sasa hatoi huduma yoyote.

Tatizo nililo nalo na huyu mpenzi anataka ni bebe majukum yote ya kulipa Ada ya mtoto wake, chakula, mavazi na kodi na matibabu.

Kwangu mimi hainingii akilini wakati hatuishi pamoja kila mtu anaishi kwake lakin tunaishi wilaya moja na kingine mimi sifahamiki kwao na yeye hafahamiki kwetu.

Na mwanaume aliye mzalisha tunaishi nae wilaya moja, chakushangaza hiyu mpenzi wangu hajulikana kwenye familia ya mwanaume aliye mzalisha.
Umewahi kucheza kamali au hii ndo yako ya kwanza mkuu luteni
 
Aisee isijekuwa ndio uko na x wangu maana hata Mimi situmi matumizi sababu x wangu aliondoka kwa nyodo na siwezi kuhudumia mtu ambaye aliondoka na mtoto kwa zarau
 
Wakuu mhurumieni jamani πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜‚ Mmemchana balaa
 
Back
Top Bottom