Mpenzi wangu anapenda ngono sana

Anapenda ngono, sio kwamba unamla vzuri ..

Nikwamba a napenda kukutana nawewe Mara kwa Mara. Kwa sababu kila akikutana nawewe. Unamuachia Hela.

MTU wa watu hana namna ..na pengine unampa hela siku mnayokua mmekutana.

Siku nyingine. No pesa !!.
 
Mimi nimeoa na mke ila numekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unfanya zinaa tu? je kuna haja ya kuendelea na mtu km hyu?

Njoo na ushauri sio matusi sasa km huna kaa kimya.
Piga chini mke kisha oa mchepuko halafu njoo utusimulie matokeo.Umeoa afu hutaki kutulia na Mke wako afu unakuja kulalama tukushauri.Ulipoamua kuchepuka,tayari ulimuona mke wako hana thamani.Ili kupunguza gharama achana na Mke wako kisha Oa huyo mwenye thamani kwako maana inawezekana kabisa hizo gharama unazotumia kwa mchepuko hata mke wako sizani kama ushawahi kumpa hata Zawadi ya Khanga sh elfu Kumi na tatu.
 
Nenda maeneo ya Mbagala au Kitunda ukanunue ka kiwanja ka 10m x 10m then ujenge kijumba kidogo cha room 1 kama weka kitanda, full AC itakusaidia kupunguza gharama.
IMG_5958.jpg
 
Mimi nimeoa na mke ila numekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unfanya zinaa tu? je kuna haja ya kuendelea na mtu km hyu?

Njoo na ushauri sio matusi sasa km huna kaa kimya.
Hapo ina maana mwanamke anapata starehe mara nne tu kwa mwezi ni halali hapo na unasema anapenda sex kweli kuwa serious na mtendee haki
Nilidhani kwa wiki mara nne
 
Anapenda ngono, sio kwamba unamla vzuri ..

Nikwamba a napenda kukutana nawewe Mara kwa Mara. Kwa sababu kila akikutana nawewe. Unamuachia Hela.




MTU wa watu hana namna ..na pengine unampa hela siku mnayokua mmekutana.

Siku nyingine. No pesa !!.
Na hilo ndio jibu


Ktk mademu wote niliokuwa nanunua nakuwa mteja wao sugu walikuwa wanapenda sana kukutana yaani wanafosi sana hadi kuja ghetto

Sio kama wameelewa shoo no ni njaa tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ushauri wangu bora member humu tumchangie kila mwezi isipungue 120,000/-
Ni aibu kwa member wote humu kushindwa kumsaidia jamaa hela ndogo kiasi hicho.
Mtoa mada weka namba yako ya muamala wanajamii tuokoe jahazi.
 
Ushauri wangu bora member humu tumchangie kila mwezi isipungue 120,000/-
Ni aibu kwa member wote humu kushindwa kumsaidia jamaa hela ndogo kiasi hicho.
Mtoa mada weka namba yako ya muamala wanajamii tuokoe jahazi.
Nishakata shauri, narudi njia kuu, staki stress km unatka nikupe hilo zigo sema ila utalia
 
Back
Top Bottom