Mueleze kuwa sahizi show kali 😂😂😂,,,hata wewe ulianzia huku!Utakapokuja yataka wewe yeye atakuwa hayataki.. Mapenzi yanamambo ya ajabu na kwasisi me tulivyonawivu sasa mkuu utajutia nafsi yako..🤣
Huyo demu humpendi la kwanza ila la pili ana utoto mwingi sababu mtu mzima akiwa haelewi kuwa kazini sio sehemu ya kuleteana mapenzi yenu atakuwa na akili mbovu tu! We demu unamuacha anaangalia season tu siku nzima unategemea kuna nini zaidi ya nyege za standard gauge kumuwasha.Tumeanza kudate miez mitatu imepta!!mwanzo ilikua kawaida tunatafutana kwa siku mara moja jion au mara mbili kwa siku!!
Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza!!
-Akipga simu hatak kumaliza maongezi
-Hata ukimwambia umechoka hakuelewi
-kila muda sim ,text ukipitaa lisaa utakuta miscall 7 msg 12 yaan unaeza jua NYUMBA INAUNGUA
-ukimwambia tuongee baadae jion au usiku niko kazini bas itapta nusu saa anaanza kupga sim na matex
-aisee yaan nakasirikaaaa mapenzi ya hiv cjawai kutana nayo na cyataki kwakweli
KUNA MUDA NADHAN LABDA UTOTO NIMUACHE! lakin n mtu mzma
Ebu wennye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo
Pwahaah aseee!We huna hela wewe.
Hahahahah penz likishafikia level ya mtumba hapo 🤣🤣🤣😂😂😂Kama ulikuwepo hizo K nimejibiwa sana
Hahahahah kumbe unaijua michezo yako eeh baada ya kupata bwana mpya ndio mnavyotufanyiaga wakulungwa😂😂😂Wakati penzi likichakaa atakua ye ndio anatuma mimeseji nakupenda mamy nakupenda sana i miss you anajibiwa "k"
Aache wenge ajifaidie penzi jipya
Penzi jipya sio 😂😂😂Penzi jipya ktk ubora wake.
Hahahahahah tatizo ni kutokumpenda mtu aisee ila ukipata embe bolibo utaombea hata atumege text kila saa ila huwezi ziona utabaki njia panda tu 😂😂😂Mimi ni mmoja wa wanaokereka na mapenzi ya aina hiyo. Yaani mtu masaa yote mnachat tu, mkuu tafta mtu mzima mwenzio achana na hao watoto.
Ha ha! Yakimkuta atajutaMueleze kuwa sahizi show kali 😂😂😂,,,hata wewe ulianzia huku!
Hili wanawake wengi sana wa Bongo hulifanya. Kama mtu umezoea yale mapenzi ya kizungu mpenzi wako anakupigia simu anakuuliza kwanza ''do you have a time.....?'' au ''.....are you busy.....?'' unaweza kumbwatukia vibaya sana. Nadhani wapenzi wengi wanaofanya hivi hawajawahi kufanya kazi ili kujua umuhimu wa muda. Ni kero. Unakuta pengine uko busy akipiga simu mara moja usipopokea hawezi kujiongoza akate ili ukipate muda baadae upige, na badala yake anapiga inaita mfululizo mpaka inakuwa kero.Tumeanza kudate miez mitatu imepta!!mwanzo ilikua kawaida tunatafutana kwa siku mara moja jion au mara mbili kwa siku!!
Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza!!
-Akipga simu hatak kumaliza maongezi
-Hata ukimwambia umechoka hakuelewi
-kila muda sim ,text ukipitaa lisaa utakuta miscall 7 msg 12 yaan unaeza jua NYUMBA INAUNGUA
-ukimwambia tuongee baadae jion au usiku niko kazini bas itapta nusu saa anaanza kupga sim na matex
-aisee yaan nakasirikaaaa mapenzi ya hiv cjawai kutana nayo na cyataki kwakweli
KUNA MUDA NADHAN LABDA UTOTO NIMUACHE! lakin n mtu mzma
Ebu wennye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo
Ushamba tu, mi napiga simu mara 2 tu! Usipopokea basi sipigi tenaHili wanawake wengi sana wa Bongo hulifanya. Kama mtu umezoea yale mapenzi ya kizungu mpenzi wako anakupigia simu anakuuliza kwanza ''do you have a time.....?'' au ''.....are you busy.....?'' unaweza kumbwatukia vibaya sana. Nadhani wapenzi wengi wanaofanya hivi hawajawahi kufanya kazi ili kujua umuhimu wa muda. Ni kero. Unakuta pengine uko busy akipiga simu mara moja usipopokea hawezi kujiongoza akate ili ukipate muda baadae upige, na badala yake anapiga inaita mfululizo mpaka inakuwa kero.
Mimi airtel tz wamenipa sekunde 286400 hata sijui ntazimalizaje hapaNa nina dakika 1000 sijui nimpigie nani
Hakuna kitu inauma kama kuandika maneno mengi kisha unajibiwa kwa herufi mojaWakati penzi likichakaa atakua ye ndio anatuma mimeseji nakupenda mamy nakupenda sana i miss you anajibiwa "k"
Aache wenge ajifaidie penzi jipya
Humtakii mema jamaa😂Weka namba yake hapa ili wenye muda wa kuongea naye wafanye hivyo. Hii itakuondolea usumbufu mkubwa sana.
Ni tabia za kiswahili kupiga simu mfululizo, piga simu mara moja/mbili asipopokea tuma sms kama kuna jambo la muhimu akiona atakujibu.Hili wanawake wengi sana wa Bongo hulifanya. Kama mtu umezoea yale mapenzi ya kizungu mpenzi wako anakupigia simu anakuuliza kwanza ''do you have a time.....?'' au ''.....are you busy.....?'' unaweza kumbwatukia vibaya sana. Nadhani wapenzi wengi wanaofanya hivi hawajawahi kufanya kazi ili kujua umuhimu wa muda. Ni kero. Unakuta pengine uko busy akipiga simu mara moja usipopokea hawezi kujiongoza akate ili ukipate muda baadae upige, na badala yake anapiga inaita mfululizo mpaka inakuwa kero.