Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,272
- 7,360
Mkuu naona unamchana mwambaHuyo demu humpendi la kwanza ila la pili ana utoto mwingi sababu mtu mzima akiwa haelewi kuwa kazini sio sehemu ya kuleteana mapenzi yenu atakuwa na akili mbovu tu! We demu unamuacha anaangalia season tu siku nzima unategemea kuna nini zaidi ya nyege za standard gauge kumuwasha.
Tafta demu mwenye majukumu anayejishughulisha uone kama atakuwa na huo ujinga wa text kila saa! Jifunze sio kila mwenye matako na sura nzuri anafaa kuwa mpenzi boya ww!