Mpenzi wangu ananipa dozz ndogo

Huyo ni mbovu au anatoka njema ambako kuna ujanja zaid.

On serious note, 3-4 times a week ni kawaida, Sasa ikiwa wewe unataka zaidi ndio maana anachoka. Why can't try to make it less but quality.
 
mimi nina miaka 28 nae ana miaka 32, kulingana na tabia na ueledi wake, simhisi hata kidogo kuwa na mtu nje..any way siwezi kuapa ila naamini hata mtu,
Yeah kwa week 3-4 hakosi, ila ni once per day/one time, tukipiga moja usiku ni moja tu... lingine ni kesho au keshokutwa... ila kwa hilo la kwanza, huwa ananifikisha, ingawa nilitegemea angalau goal mbili for the time tunapokutana.. na especially ninavyosikia wenzangu wanasema waume zao ni goal 2-3 kwa wakati mmoja ingawa kuna interval ya time.. ndo namimi nawish ningekuwa hivyo.

Hapo unahaki ya kulalamika kumbe bado mtoto kabisa huyo kwanini anakuwa mzembe hivyo wanatoa 1 na kulala ni kama hawa wa kwetu sie 48 huko sasa 32 mmmhhh kuna shida hapo aisee kama si ana mwingine basi anafanyakazi sana na kuchoka. Cha msingi hebu kaa nae mzungumze sio mpaka wamarekani waambie mzungumze. Hii ifanye iwe kwa hisani yako
 
Inawezekana anachoka sana kazini,au stress,vipi wakati mko free kama week end au akiwa holiday?
 
mimi nina miaka 28 nae ana miaka 32, kulingana na tabia na ueledi wake, simhisi hata kidogo kuwa na mtu nje..any way siwezi kuapa ila naamini hata mtu,
Yeah kwa week 3-4 hakosi, ila ni once per day/one time, tukipiga moja usiku ni moja tu... lingine ni kesho au keshokutwa... ila kwa hilo la kwanza, huwa ananifikisha, ingawa nilitegemea angalau goal mbili for the time tunapokutana.. na especially ninavyosikia wenzangu wanasema waume zao ni goal 2-3 kwa wakati mmoja ingawa kuna interval ya time.. ndo namimi nawish ningekuwa hivyo.
hahahaha hizo salooni zenu izo....haya bana mwambie jamaa aache uvivu uwafurahishe mashosti zako...
 
ndugu zangu,
nimekuwa na mpenzi wangu muda mrefu sasa, tunaishi kama mume na mke, na kulingana na maisha tunayoishi, nina uhakika hana msichana nje, kinachonikwanza ni kila tukitenda tendo la ndoa baada tu ya kumaliza goli la kwanza basi harudii tena na wakati mwingine analala kabisa, na hata nikimshawishi kupata kitu cha pili , basi jogoo hasimami kabisa, na kwa wiki tunaweza tukakutana mara 3 -4 kwa kimoja kimoja tu, na sometimes huwa anasafiri wiki-wiki mbili, ila hata akirudi, utaratibu ni ule ule, atafanya mara moja tu, mpaka kesho yake au keshokutwa anasema inatosha kwa leo... Hii ni utaratibu since nimeanza nae urafiki, mwaka sasa, je nichukulie hali ya kawaida au kuna tatizo... Style nazitumia sana, ufundi mwingi nafanya, kwa kweli maandalizi ya mbinu tofauti daily nafanya.. Ila lastly anafanya mara moja tu... Je wandugu, hii ni kawaida au kuna tatizo hapa (simhisi kufanya nje kabisa kama ana msichana katu)

sasa na wewe unavimalizia wapi?
 
Inawezekana anachoka sana kazini,au stress,vipi wakati mko free kama week end au akiwa holiday?
mama wa busara hujambo? mbona umetupa ivyoo? au babu kakuficha anakagua matiti...mwambie hayo si yake ni yangu bana..
 
Inawezekana anachoka sana kazini,au stress,vipi wakati mko free kama week end au akiwa holiday?[/

Tukiwa holiday pia hakuna tofauti sana, kitakachochange ni sometimes tunapiga asubuhi na wakati wa mapumziko mchana au hata usiku (ila si mara zote ni sometimes) ingawa wakati mwingine anasafiri wiki/2wks, anaweza kurudi na akawa na hamu kweli kweli, hata mchana ataniita tu, ila ni hilo moja tu, hakuna la zaidi.... na hata nikitumia ushawishi, ataniambia, ngoja nipumzike kidogo, ndo imetoka hiyo.. hadi kesho yake au keshokutwa
 
Pole sana, huenda huyo mpenzi wako ana matatizo au kazi anazofanya zinamsababishia uchovu na hivyo kumfanya asiweze kuhimili mchezo. Nashauri uongee nae kuhusu hali yake na umwelezee kuwa hupendi hilo goli moja kama kuna matatizo zaidi mshauri akawaone wataalamu wa afya!
 
...WAKATI MWINGINE KUWA NA MKE MDOGO MDOGO NI SHIDA SANA!
wakina mama wadogo wadogo wanachokifikiria wao ni kwamba waume zao wanawaza unyumba tu......!

pole sana mama!

nakuacha na tafakari hii:
TOA KIBANZI............
 
Ndugu zangu,
Nimekuwa na mpenzi wangu muda mrefu sasa, tunaishi kama mume na mke, na kulingana na maisha tunayoishi, nina uhakika hana msichana nje, kinachonikwanza ni kila tukitenda tendo la ndoa baada tu ya kumaliza goli la kwanza basi harudii tena na wakati mwingine analala kabisa, na hata nikimshawishi kupata kitu cha pili , basi jogoo hasimami kabisa, na kwa wiki tunaweza tukakutana mara 3 -4 kwa kimoja kimoja tu, na sometimes huwa anasafiri wiki-wiki mbili, ila hata akirudi, utaratibu ni ule ule, atafanya mara moja tu, mpaka kesho yake au keshokutwa anasema inatosha kwa leo... hii ni utaratibu since nimeanza nae urafiki, mwaka sasa, je nichukulie hali ya kawaida au kuna tatizo... style nazitumia sana, ufundi mwingi nafanya, kwa kweli maandalizi ya mbinu tofauti daily nafanya.. ila lastly anafanya mara moja tu... je wandugu, hii ni kawaida au kuna tatizo hapa (simhisi kufanya nje kabisa kama ana msichana katu)
pole mwaya wee, mimi na mwenzangu tunapeana ngoma droo! Kama ni 3-3 kwa wakati mmoja kila siku!
 
mimi nina miaka 28 nae ana miaka 32, kulingana na tabia na ueledi wake, simhisi hata kidogo kuwa na mtu nje..any way siwezi kuapa ila naamini hata mtu,
Yeah kwa week 3-4 hakosi, ila ni once per day/one time, tukipiga moja usiku ni moja tu... lingine ni kesho au keshokutwa... ila kwa hilo la kwanza, huwa ananifikisha, ingawa nilitegemea angalau goal mbili for the time tunapokutana.. na especially ninavyosikia wenzangu wanasema waume zao ni goal 2-3 kwa wakati mmoja ingawa kuna interval ya time.. ndo namimi nawish ningekuwa hivyo.

mie naona hio dozi ni sawa,
mwanaume akipiga goli moja ni sawa ametembea miles na miles...
kama mnafanya mara tatu kwa week aisee aakuwa ametembea miles nyingi sana:cool::cool:
kama unataka zaidi ya hapo ni kumuonea..hahhahah

lakini siriazz haya ya wenzio kuenda round mbili tatu umeyasikia wapi?
watu kumbe mnaaambianaga mambo kama haya?LOL
 
Sitaki kumfurahisha mtu, ila nimeliweka hapa nipate ushauri, kama ni kawaida au la, na kama ni tatizo maana yawezekana mi nataka zaidi kumbe hiyo ni kawaida kwa baadhi ya watu...
 
roselyne1;1316920]mie naona hio dozi ni sawa,
mwanaume akipiga goli moja ni sawa ametembea miles na miles...
kama mnafanya mara tatu kwa week aisee aakuwa ametembea miles nyingi sana:cool::cool:
kama unataka zaidi ya hapo ni kumuonea..hahhahah

lakini siriazz haya ya wenzio kuenda round mbili tatu umeyasikia wapi?
watu kumbe mnaaambianaga mambo kama haya?


Hahahahaha, kuna siri ndugu yangu siku hizi? hata humu kwenye JF huwa tunayasoma ndo hviyo tunapata matamanio
 
mama wa busara hujambo? mbona umetupa ivyoo? au babu kakuficha anakagua matiti...mwambie hayo si yake ni yangu bana..

Sijambo swir,babu alishanikabidhi kwako kwa hiyo nimetua wewe tu sasa ushindwe.Kwema lkn?
 
Sitaki kumfurahisha mtu, ila nimeliweka hapa nipate ushauri, kama ni kawaida au la, na kama ni tatizo maana yawezekana mi nataka zaidi kumbe hiyo ni kawaida kwa baadhi ya watu...
kwakweli kadozi ka 1 kwa siku sio kawaida! angalau hata tuwili basi! nina uhakika hako kamoja hukashusha ndani ya dkk 5 tu kwishnei!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom