Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Wana jf wenzangu.!
Jana ilikuwa siku mbaya mno kwangu baada ya Mpenz wangu kunipigia cm kuwa wamevamiwa na majambazi huku akilia akisema anakufa..! Nilichomwambia ni kwamba azime simu na aifiche, naona alifanya hvyo. Lakn kwa vile alikuwa amekaa seat ya dirishan alipigwa risasi 3, mguun, tumbon na mkonon. Hivi jana yeye na majeruhi wengne serious wamepelekwa Bugando hospital mwanza. Jaman naomba Mungu ili aweze kupona. Walivamiwa wilaya ya kibondo mkoan Kigoma na m2 1 alikufa hapohapo. Nalia mie jaman...
Jana ilikuwa siku mbaya mno kwangu baada ya Mpenz wangu kunipigia cm kuwa wamevamiwa na majambazi huku akilia akisema anakufa..! Nilichomwambia ni kwamba azime simu na aifiche, naona alifanya hvyo. Lakn kwa vile alikuwa amekaa seat ya dirishan alipigwa risasi 3, mguun, tumbon na mkonon. Hivi jana yeye na majeruhi wengne serious wamepelekwa Bugando hospital mwanza. Jaman naomba Mungu ili aweze kupona. Walivamiwa wilaya ya kibondo mkoan Kigoma na m2 1 alikufa hapohapo. Nalia mie jaman...