dracular
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 737
- 1,036
Daaah aisee umeongea point nzuri sanaHapa ndo wakati wa kujitambua busara zako ili siku ukiwa na furaha ujivunie..visasi,chuki na hasira havita kusaidia baadala yake vitazidi kukuumiza...kila binadam unaepishana nae huko barabarani kesha umizwa kwenye mapenzi ...na mapito hayo ndo yanakujenga na kukupa nguvu na ari mpya...jitahdi kutumia muda wako huu kua bora usije juta mara mbili..
SM