KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Nachokijua binadamu wote tuna kasoro!kwa misingi hiyo wewe unaona nini kwa mpenzi wako au wapenzi uliowahi kuwa nao nini kasoro walizokuwa nazo?nawewe hukuzipenda?na ukilinganisha na uliyenaye sasa??je ni yupi unaona alikuwa bora zaidi japo haikuwezekana kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wako!!