Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Hili ni tatizo katika jamii yetu!
Japo kila mtu anajua moyoni mwake uzito wa hii Taabu.
Ikitokea mpenzi wako..anaweza kua ni mume au mke...au bwana yako au bibi ya wewe...anaanza kukutishia uaminifu au umeshaanza kusikia sifa za barafu wako wa moyo..anaanza kugawa...utafanyaje kuidhibiti hali hiyo...ili urejeshe hiyo imani...kua ni wewe pekee unae kula...au kuliwa?
Hayajanikuta ila nayajua vile nayasomea jinsi ya kudhibiti.
tujadili kwanza wenzangu JF.
Japo kila mtu anajua moyoni mwake uzito wa hii Taabu.
Ikitokea mpenzi wako..anaweza kua ni mume au mke...au bwana yako au bibi ya wewe...anaanza kukutishia uaminifu au umeshaanza kusikia sifa za barafu wako wa moyo..anaanza kugawa...utafanyaje kuidhibiti hali hiyo...ili urejeshe hiyo imani...kua ni wewe pekee unae kula...au kuliwa?
Hayajanikuta ila nayajua vile nayasomea jinsi ya kudhibiti.
tujadili kwanza wenzangu JF.