Mpenzi wako anakutumia sms hii...! Utamjibuje...!

Konakali

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
1,533
263
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:

  1. Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
  2. Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
  3. Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
  4. Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!
 
duuuh hapo unaweza kuzimia au kufariki kabisa,hiyo msg ni nzito sana inaweza kukupa presha ya milele
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii.mama gaude wangu ndo aniandikie meseji ya hivi naweza zimia na kufa papo hapo
 
duuuh hapo unaweza kuzimia au kufariki kabisa,hiyo msg ni nzito sana inaweza kukupa presha ya milele
Niliwahi kumtumia mke wangu na hakuna aliyeweza kuongea nami hadi jioni yake, ambapo mke wangu alizinduka akiwa hospitalini na hivyo watu wakapata akili ya kunitafuta mimi tena....! Nilibaki na swali gumu kuwa je, alizimia kwa kushutushwa na hali niliyonayo au ni maswali yangu yamekuwa magumu kwake...!? Aidha, sipendi kuurudia tena, maana kumbe mtu anaweza akakutangulia wewe...!
 
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:


  1. Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
  2. Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
  3. Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
  4. Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!

ebwaneeeeeeeeeeeeeeee................................... hiyo ni kona kali sana lazima upunguze mwendo ndiyo ukunje la sivyo utapindua gari, namaanisha kuijibu sms inabidi uwe na akili timamu la sivyo utamuua wewe kabla ya Mungu kumchukua
 
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:


  1. Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
  2. Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
  3. Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
  4. Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!

Majibu ya Mwendawazimu...
1. Umenifanyia vitu vingi ambavyo sitavisahau, lakini kikubwa nimkunikumbuka wakati unakaribia kufa...
2. Kibaya ulichowahi kufanya, ni kuficha ukweli juu ya afya yako, ahdi unafikia kufa ndo unaniambia...
3. Neno la kuagana - Niombee huko uendako, nipate mwingine kama wewe...
4. Sijawahi kukufanyia kisicho kizuri kwa makusudi...
 
hahahah Komenti zenu zinanichekesha mwenzenu daaah haya mambo ya kuwaza kabla jambo halijatokea mungu apishe mbali:redfaces:
 
ebwaneeeeeeeeeeeeeeee................................... hiyo ni kona kali sana lazima upunguze mwendo ndiyo ukunje la sivyo utapindua gari, namaanisha kuijibu sms inabidi uwe na akili timamu la sivyo utamuua wewe kabla ya Mungu kumchukua
Kwanini? Umemfanyia mambo ambayo bora usisamehewe kuliko ajue kabla hajaondoka?
 
Majibu ya Mwendawazimu...
1. Umenifanyia vitu vingi ambavyo sitavisahau, lakini kikubwa nimkunikumbuka wakati unakaribia kufa...
2. Kibaya ulichowahi kufanya, ni kuficha ukweli juu ya afya yako, ahdi unafikia kufa ndo unaniambia...
3. Neno la kuagana - Niombee huko uendako, nipate mwingine kama wewe...
4. Sijawahi kukufanyia kisicho kizuri kwa makusudi...
Ulipata kumfanyia kwa bahati mbaya? Ni yapi....
 
Niliwahi kumtumia mke wangu na hakuna aliyeweza kuongea nami hadi jioni yake, ambapo mke wangu alizinduka akiwa hospitalini na hivyo watu wakapata akili ya kunitafuta mimi tena....! Nilibaki na swali gumu kuwa je, alizimia kwa kushutushwa na hali niliyonayo au ni maswali yangu yamekuwa magumu kwake...!? Aidha, sipendi kuurudia tena, maana kumbe mtu anaweza akakutangulia wewe...!
Alizimia kuona majukumu mbele yake......
 
Niliwahi kumtumia mke wangu na hakuna aliyeweza kuongea nami hadi jioni yake, ambapo mke wangu alizinduka akiwa hospitalini na hivyo watu wakapata akili ya kunitafuta mimi tena....! Nilibaki na swali gumu kuwa je, alizimia kwa kushutushwa na hali niliyonayo au ni maswali yangu yamekuwa magumu kwake...!? Aidha, sipendi kuurudia tena, maana kumbe mtu anaweza akakutangulia wewe...!


yeah usirudie utasababisha maafa makubwa sana
 
Kwanini? Umemfanyia mambo ambayo bora usisamehewe kuliko ajue kabla hajaondoka?

bwana kona kali ili ujue hapo nini kitatokea ukipoea sms hiyo, piga picha wakati unafanya mtihani final, umekugonga mda unakaribia kwisha ndiyo majibu yanakuja mengi kichwani kila moja unaliona lianfaa unabaki kuduwaa hujui uandike lipi umenipata hapo
 
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:

  1. Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
  2. Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
  3. Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
  4. Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!

1.kuniambia unanipenda was the most beutiful thing that has ever happened in my life!
2.kutaka kuruka ukuta..lol
3.NAKUPENDA,nafasi yako hakuna atakayeiziba,uniombee na mie nikuombee mpaka tutakapoonana
4.mtoto wetu yule wa mwisho sio wako,ni wa yule houseboy wetu..LOL:embarrassed::embarrassed::embarrassed::redfaces:
 
Hakuna SMS ndefu namna hiyo, maana SMS ni maneno 160. So hamna Hoja hapo. Lingine???
 
Ntamwambia HEBU ACHA UTANI!!!!
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:

  1. Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
  2. Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
  3. Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
  4. Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!
 
bwana kona kali ili ujue hapo nini kitatokea ukipoea sms hiyo, piga picha wakati unafanya mtihani final, umekugonga mda unakaribia kwisha ndiyo majibu yanakuja mengi kichwani kila moja unaliona lianfaa unabaki kuduwaa hujui uandike lipi umenipata hapo
Yes, I catch you....! Hivyo, ungependa kumjibu kila swali, tena kwa ufasaha, lakini unaona kama reply hiyo haitamkuta....! Lakini si ungeanza na la kusamehewa wewe kwanza? Yaani ungesema maovu uliyomfanyia, ambayo hayajui ili apate kukusamehe.....!
 
1.kuniambia unanipenda was the most beutiful thing that has ever happened in my life!
2.kutaka kuruka ukuta..lol
3.NAKUPENDA,nafasi yako hakuna atakayeiziba,uniombee na mie nikuombee mpaka tutakapoonana
4.mtoto wetu yule wa mwisho sio wako,ni wa yule houseboy wetu..LOL:embarrassed::embarrassed::embarrassed::redfaces:
Duh....! Kweli hii kali, japo ungesamehewa kwa kusema ukweli....!
 
Hakuna SMS ndefu namna hiyo, maana SMS ni maneno 160. So hamna Hoja hapo. Lingine???
Ndio wale usiku wanasema "tulale kidogo nitakupa baadaye" kumbe ametoka kupata chapchap muda mfupi uliopita....!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom