Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Kati ya tarehe 22-24 mwezi huu wa tano watanzania tumeshuhudia tukio ambalo ni nadra sana kutokea sio Afrika tu bali ni dunia nzima.
Mpenzi wa baba ameachwa kwenye mataa na aliyekuwa awe mme wake, huku kukiwa na tuhuma kuwa kijana huyo ametokomea kusikojulikana na pesa zisizo pungua milioni 40 na kumuacha mpenzi wa baba akiwa mgonjwa.
Mpenzi wa baba ataweka wapi sura yake, mpenzi wa baba atafanya nini jamani?
Ni dhahiri kuwa hata baba atakuwa hajafurahishwa na kitendo alichofanyiwa mpenzi wake aliyezaa nae mtoto kwani naamini lazima baba alimruhusu mpenzi wake afunge ndoa hivyo kitendo cha huyo kijana kitakuwa kimemuumiza sana baba. Kama baba asingeiruhusu hiyo ndoa lazima huyo kijana angekuwa alishahukumiwa kifungo kisicho pungua miaka 18 au kifungo cha maisha kwa kesi ya ubakaji na kulawiti.
Bado natafakari kijana huyo ameamua kumuumiza mpenzi wa baba kwa bahati mbaya au kwa makusudi? Hivi huyu kijana anamfahamu vizuri baba yangu?
Kijana nakukumbusha tu kuwa baba yangu si mtu wa kuchezewa, baba yangu hawezi kukubali mpenzi wake kuaibika kiasi hiki. Kijana, unadhani baba atakuacha?
POPOTE ULIPO, UWE HAI AU UMEKUFA BABA ATAKUPATA TU. POLE SANA BABA YANGU NA MAMA.
Mpenzi wa baba ameachwa kwenye mataa na aliyekuwa awe mme wake, huku kukiwa na tuhuma kuwa kijana huyo ametokomea kusikojulikana na pesa zisizo pungua milioni 40 na kumuacha mpenzi wa baba akiwa mgonjwa.
Mpenzi wa baba ataweka wapi sura yake, mpenzi wa baba atafanya nini jamani?
Ni dhahiri kuwa hata baba atakuwa hajafurahishwa na kitendo alichofanyiwa mpenzi wake aliyezaa nae mtoto kwani naamini lazima baba alimruhusu mpenzi wake afunge ndoa hivyo kitendo cha huyo kijana kitakuwa kimemuumiza sana baba. Kama baba asingeiruhusu hiyo ndoa lazima huyo kijana angekuwa alishahukumiwa kifungo kisicho pungua miaka 18 au kifungo cha maisha kwa kesi ya ubakaji na kulawiti.
Bado natafakari kijana huyo ameamua kumuumiza mpenzi wa baba kwa bahati mbaya au kwa makusudi? Hivi huyu kijana anamfahamu vizuri baba yangu?
Kijana nakukumbusha tu kuwa baba yangu si mtu wa kuchezewa, baba yangu hawezi kukubali mpenzi wake kuaibika kiasi hiki. Kijana, unadhani baba atakuacha?
POPOTE ULIPO, UWE HAI AU UMEKUFA BABA ATAKUPATA TU. POLE SANA BABA YANGU NA MAMA.