Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,913
- 14,799
- Thread starter
- #21
Hahahahaha, uuuwi๐๐๐๐
Hahahahaha, uuuwi๐๐๐๐
Punyeto Tamu ee?! ๐๐๐๐hata PUNYETO ni mapenzi ya siri.......au siko sahihi?
Nilishaibwa na mchepukoVp ushawahi ibiwa au?!๐๐๐๐๐๐๐
Kuna vepe๐๐๐๐๐
siri ya ngoma aijua achezae.....Punyeto Tamu ee?! ๐๐๐๐
Sasa kumbe umeolewa alafu bado una mazoea na watu ambao hawapo kwenye ndoa!? Jiandae kuharibu ndoa yako maana hawata kushauri jambo la maana juu ya ndoa yako. ACHANA NAO KAA MBALI KABISA.๐๐๐๐
NI vile Tu Money Penny uliolewa mapema Sana, ungekuwa bado mtaani kama Mimi ungeunga tela, wenzio tunafaidi chini ya Jua balaa, mambo NI fayaa na maisha yanaenda?!๐๐๐๐
Pole bossNilishaibwa na mchepuko
Sauwasiri ya ngoma aijua achezae.....
AiseeSasa kumbe umeolewa alafu bado una mazoea na watu ambao hawapo kwenye ndoa!? Jiandae kuharibu ndoa yako maana hawata kushauri jambo la maana juu ya ndoa yako. ACHANA NAO KAA MBALI KABISA.
Ok nirudi kwenye mada nikweli wanaume tunapenda wapenzi wasiri kwani tunakuwa atuna malengo nao wao wapo ili kutuondolea ham zetu tu, tunafurahia mapenzi ya siri kwa sababu tunajua ata tukikuacha una pakwenda kuolalamika kwasababu hakuna anaekutambua ww kama mpenzi wangu
Mzima taajiri?!
Nakuona nakuona
Umefufukia wapi?!
Sikuona kwenye vita vya money penny
We mbaya wewe
Sio kuibiwa niliibwa...nikayamaliza na my kichinichini...mchepuko nae akajishtukia akatembea.Pole boss
Ndio ukubwa alafu inakupa kuamka kiakili na kiunyumba๐๐
Yani unakuwa mkali kwenye mechi hutoibiwa tena
Aisee
Acha woga wewe