The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,330
- 4,146
- Thread starter
- #121
wanaaema hazina radha sasa sijui wanajiandaaje na kumeza sawa for the rest of their lifeMtumie kondomu vijana, ngwengwe ipo
wanaaema hazina radha sasa sijui wanajiandaaje na kumeza sawa for the rest of their lifeMtumie kondomu vijana, ngwengwe ipo
Sawa kijana wangu tupo pamojaahahahahah sawa sawa mkuu, karibu sana nina mengi ya kushare na wana jf wenzangu, tatizo muda
Habarini za uzima wakuu, rejeaa mada husika hapo juu.
Kumekuwa na misemo mingi inayozungumzia athari za uzinzi ,mmojawapo ni "uzinzi gharama".
Masaa mawili au chini ya hapo Leo tarehe 30 05 2021, roommate wangu kakoswa koswa na balaa la kufiwa na mtoto wa mwenyewe room kwetu.
Ilikuwa majira ya saa 2 na dakika kadhaaa, roomate wangu akanambia , mzee kuna demu anakuja hapa.
Kama unavojua maisha ya chuo kupigana exile ni normal na uzuri room yetu ni watu 4 lakini wawili hawajaripoti , may be wameenda kukaa off campus hadi kipindi cha UE.
Basi muda umewadia jamaaa Kani alert ,oyaaa yuko nje anakuja ,...... kiroho safi nikatoka zangu huyohuyo mdogo mdogo niwaache na privacy yao.
Natoka nje nakutana na wadada wawili wametoka chukua msosi uswazi juu (wanaojua wanajuaa namaanisha chuo gani hapa), wakaagana, mmoja wao akakatisha nlikotoka , mie kumbe nampimia tu anavoingia machinjioni ye asijue.
Huyo dada ni mfupi, kavaa mtandio kama sio ushungi na ni almost 22 hivi , certificate au diploma.
Basi wakati huo wote mie nlikuwa naongea na simu, nikisuruhisha kesi nyingine ya jamaa yangu nae , huyu jamaa yangu nae ni mtu wa mademu sana ,kampa mimba binti wa watu ,then baba wa binti kawaka kinoma. Anyway turud kwenye mada.
Nimekaa nje almost saa hivi nikijuaa jamaa anafanya mashambuliz kama Yale ya Man City dhidi ya Mendy, lakini kumbe hali ikawa ndivyo sivyo.
Nimekaa zangu nje pembeni ya room za majiran zetu nakuta jamaa anatoka na dada wawatu akiwa kichwa kainamia chini, LAKINI mdada anakohoaa nkasema kashaliwa huyu tayari ,hapo kapulizia pafyumu ya jamaa hajaiozoea ndomana anakohoaaa ,huku akijipepeaa na kimtandio chake.
Wamekaaa basi nje wakipiga stori then jamaa akanipigia simu, ikaita nikajificha asione kuwa nlikuwa nawachora. Ile napokea simu jamaa anaongea sauti ya mtu mwenye hofu sana hadi nkashtuka then akanambia njoo ruum.
Nkabaki nashangaa njoo ruum mara moja wakat namuona pale basi namie nkaenda room, nakuta kitanda chake kimebonyea ,kikionesha kuna watu walikuwa wamekaa palee, nkacheki chini nakuta mate mate kama ya udende mie nikadhani ni ute ute wa genitals zao , siku mind nkaona anakuja room akiwa katokwa na mishipa na mwekundu usoni sabab jamaa ni mweupe haswa, alichonambia ndo hichi sasa
Based on what jamaa kaniambiaa, wakat wanaendela na foreplay wapo na nguo za ndani tu ......... Hamadiii!!!! dada wa watu akaanza kupumuaa kwa shida , kadiri muda unavozidi akawa hawez hata kuongea kiurahisi ......... Jamaa kuona vile akapanic , ikabidi amauulize binti nini shidaa.
Binti anafunguka kuwa anapumu inamsumbuaa, jamaa akamuuliza kama anaweza kumpigia roomate wa huyo binti alete dawa, binti akagoma.
Wakati huo jamaa hapo ,mzigo ushanywea na ameshavaa nguo mapema anataka kukimbiaa, Bahati nzuri akili ikamcheza akamvalisha nguo chap mdada, wakatoka nje eti wapunge upepo wakat baridi na pumu havipatani.
Akaongeza zaidi kuwa kuna siku amelala naee usiku kucha lakini hakusumbuaa kitu.
My take:
Tuache okota okota watu hovyo, mtu hujajuana nae, hujui afya yake then unakuja kumleta gheto unapatwa na maswahibu kama hayo, Jamaa mwenyewe amesema alikuwa anataka amkimbie dada wa watu atoroke kabisa aniachie msala mie
Japo nime participate kwenye kuhalalisha hili lakini sikuwa na namna, jamaa amesema anakomaa na Coursework tu saiv
Lastly,tujitahidi tuache UZINZI na UASHERATI, Biblia katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana, maandilko yanasema .... Wazinzi, waabudio sanamu, waongo ..... hawata urithi ufalme wa mbinguni.
wee umevurugwa sio bureeeh khaaaah.Mkuu ka ma ni Makumira apo basi hilo ni li x langu fulani limbulu khumamame, mweupe anamavinyweleo kama sokwe, mtamuuu, anapendelea chupi nyeupe, akiwa anakojoa anapiga ukunga
Tena huu uchafu wa kugongana, kwa kufunga mapazia huku wengine wanasikilizia, ndo ningeukomesha wallah.ungenyoosha kwa namna gani labda wenzako wanafatwa wanagongewa humo humo kwenye mapazia nawewe umekaa hapo unasikizia tuu
Mkuu niko salama kabisa cognitivelywee umevurugwa sio bureeeh khaaaah.
poaa poaaaSawa kijana wangu tupo pamojaa
anaitwa Nani kaka tukusaidie majukumu***** hii Ni mzumbe main campus. Dame wangu atakuwa kashaliwa.
kwamba ungepigana au vii, yani ungekunjwa vizuri sana nawewe unaonganishwa humooTena huu uchafu wa kugongana, kwa kufunga mapazia huku wengine wanasikilizia, ndo ningeukomesha wallah.
Yaan hostel ninayoishi watu wafanyie uchafu nisiwepo na nisijue nikijua ni hatari tupu, sasa ndo ufanyike huku nipo na niwe nasikilizia mbna hiyo siku ingeandikwa historia kabisa.
hauku omba rematch irudiwre irudiwee irepeatDa! Umenikumbusha, 2006 joliingia na demu guest ile ndio tunaanza gemu tu, demu kapandisha mashetani, anaongea vitu havieleweki, miayo kwa wingi, akaomba maji alikunywa chupa tatu za lita na nusu akatulia kidogo, nilimwambia vaa uende nyumbani.
Mzumbe hiimaeneo karibu na ofisi za hawa mukoView attachment 1803483
Haya bhana bas sawaah.Mkuu niko salama kabisa cognitively
Da! Umenikumbusha, 2006 joliingia na demu guest ile ndio tunaanza gemu tu, demu kapandisha mashetani, anaongea vitu havieleweki, miayo kwa wingi, akaomba maji alikunywa chupa tatu za lita na nusu akatulia kidogo, nilimwambia vaa uende nyumbani.
sahihiMzumbe hii
alikua sahihi kabisa yanPole yake sana...
Kuna mlevi mmoja alisema, msiishie kupima ukimwi tu, pimeni na magonjwa mwengine...
watu hawaelewi humohumo tunaruka nao tuu, ulitaka twende kibasilaMzee kwenye zile hostel mbona kumekaa hovyo sana kwa kuvusha