The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,326
- 4,144
- Thread starter
- #141
saaafi ndo ulichoona hicho tu,Unapenda kuchekacheka
saaafi ndo ulichoona hicho tu,Unapenda kuchekacheka
Pekee yakesaaafi ndo ulichoona hicho tu,
sawa kakaPekee yake
Jmnii nmecheka had machoziiiumetisha lolNiliwahi kukutana na mwanachuo mmoja Dodoma mitaa ya CBE.
Alipokuja hotelini kwangu wakati wa foreplay akijifanya kupandisha mashetani, nikasema hanijui huyu.
Nikasokota ganja mbele yake yeye akiwa kalala kitandani akiongea lugha za kimaruhani ambazo sizielewi. nikala mjani wangu fresh. chumba chote kilijaa moshi wa ganja na harufu yake.
Baada ya dikaka tatu nikaona katulia kimya ananikodolea macho, nikajua mashetani yameshasepa, yasingeweza kustahimili mazingira yale.
Sikumkawiza, fasta nikaanza kumpelekea moto.....sitaki ujinga mimi.