Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Ni kweli. Alikuwa ananituhumu 'kufanya kitu' ambacho mimi nilikuwa na uhakika 100% kuwa hakikuwepo/sikukifanya....so nilikuwa na 'confo' la kumwacha afanya analotaka. Nadhani alifanya uchunguzi akagundua kuwa 'kachemka' ikabidi arudi. Hata hivyo nilipitia kipindi kigumu sana.....it was the worst time of my marrige!
pole sana, wanawake tumezidi kutingisha vibiriti. Ingawa inaumiza lakini akijirudisha mwenyewe anakuwa na adabu.