Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,575
Hamna kitu hapo
anaonyesha ni mwaminifu!! si mwambie tu sina au subiri nikipona naenda kukuchukulia ofisini basi!....sasa weweeeeemama weeeUpo hoi kitandani alafu mwenza wako anakubana umpatie pesa ya mchango wa Sendoff au harusi.
Kwa picha kama hii unapata kumuelewa vipi? Anafaa kuitwa mwenza mwema?
Kuondoa tatizo ni kukataa kuchangiwa/kuchangisha. Sasa umesha changisha kwa vurugu mpaka siku unaenda kanisani kuwowa, halafu unaombwa mchango unaanza kuleta ujanja ujanja. Lipa na wewe.Kuumwa kwako sherehe inasimama?
Tatizo sio mwenza wako, tatizo ni jamii ya sasa tumejijengea tabia za ajabu, ajabu.., huo mchango wa send off ni kama deni, asipochanga hapo huenda hata akatengwa..., au kama wewe ulishachangiwa hivyo na wao wamekuja kuchukua zamu yao imefika....
Huenda yeye ndio yupo kwenye firing line, ingawa huwa mnakopa nyote (kuomba michango) lakini lawama zinakuja kwake tu, hivyo anapunguza kero za kesho...
Kwa ushauri tu tuachane na hizi tamaduni za ajabu ajabu za kuingizana kwenye gharama kwa vitu vya kupita.
ulimnyanyasa sana hutapata bahati km huyoo demu!! mmeambiwa muishi nao kwa akili.....kwa muktadha huu weye huna akili!! mwache mara moja na unipe number zake...Duuh. Hii imenikumbuamsha mwaka 2016 kuna demu ilikua na mpenda saana. Siku moja naumwa akanipigia tukasalimiana vzr nikamwambia mwenzio naumwa. Hakujali kama hajanisikia. Nikarudia tena naumwa, haku respond kuonesha kujali. Akaanza kuomba hela nkamwambia nimekuambia naumwa au hujanielewa. Aisee alichokibu kilinipa jibu la mwisho kuwa mm na yy by by. Alijibu hivi mimi nahitaji hela nimwambie nani..? nilimjibu tu vzr mm sijakuoa hivyo sio mzazi wako sawa.. na hela yangu ni ya kwangu acha iniuguze sikutumii uza nyapu yako.. ikawa by byy miaka 3 mbele akanitafuta kuniomba msamaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro una mtu? Natafuta mtu...Mpe pesa!!!
Sindio mnajazanaga huu ujinga humu daily😅
Mtu yupi unaemtaka? Mpenzi au sponyoo!?Bro una mtu? Natafuta mtu...
Yoyote ilimradi mtu, we upo katika position gani?!Mtu yupi unaemtaka? Mpenzi au sponyoo!?
Position ni anaepumua tu😂Yoyote ilimradi mtu, we upo katika position gani?!
Kapumulie huko huko kwenu 😂😂😂Position ni anaepumua tu😂
Usimpe mwambie asubirie uponeUpo hoi kitandani alafu mwenza wako anakubana umpatie pesa ya mchango wa Sendoff au harusi.
Kwa picha kama hii unapata kumuelewa vipi? Anafaa kuitwa mwenza mwema?
Dah, hii mbungi hii🤣🤣🤣Kapumulie huko huko kwenu 😂😂😂
Wewe ni andazi kinoma noma.ulimnyanyasa sana hutapata bahati km huyoo demu!! mmeambiwa muishi nao kwa akili.....kwa muktadha huu weye huna akili!! mwache mara moja na unipe number zake...
ANDAZI NA UPUPU! KIPI UNASHIBA!!! JIBU UNALO .....TAMKA HATA KIMOYOMOYO!Wewe ni andazi kinoma noma.