fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,408
- 7,961
Usimwambie,mezea maana atakuwa hana dhambiJamani naombeni ushauli demu wangu alikuja jana Geto ,kimsingi mm ni mkristo na Yeye ni mwislamu, Mm natabia ya kununua kilo ya ngurwe na kuitengeneza mwenyewe nyumban kutokana sipendi itengenezwe magengeni au mtaani nje na nyumbani.
Sasa mm huwa mafuta yanayobaki huwa nayatunza ktk chupa ili nikinunua nianzie pia kupika .
Jana alikuja nikatulia nae geto
baadae nikamuacha home mm nikaenda ofisini bt akahis njaaa akachukua mchele akapika na akapikia yale mafuta ya kitimoto akijua ni korie pengine na aka kaangia mboga .
Nilipofika wakati huo alikuwa ameshaondoka kwake ila mafuta yale ya kitimoto yakawa yote yametumika na chakula amekula.
Sasa nishauli jaman nimwambie akatubu mskitini au nitulie maana tayari nimemlisha haramu.