Mpenzi anatafuna meno usiku, inaniogopesha sana

NdegeMwema

JF-Expert Member
Jun 29, 2015
250
199
Heri ya weekend wadau!!

Iko hivi, miezi kadhaa imepita sasa Niko na uhusiano na binti mmoja hapa mjini! Sijawahi kubishana nae, yaani kwa kifupi tuko poa. Issue ni kwamba huyu binti akishtuka kidogo toka usingizin au akijigeuza tu, anatafuna meno balaa!!

Siku ya kwanza imetokea hiyo hali nililala nae kwa tahadhari lakini nilijipa moyo labda imetokea kwa muda tu.

Sasa kwa mara nyingine tena naona hali iko vile vile, nilijaribu kumashtua ndugu VP unakula nn usiku huu? Alishtuka akatulia, nilimwambia achama mdomo, sikuona kitu zaid ya meno na ulimi tu!

Asubuhi yake ali mind lakini tukayamaliza. Ukimsikiliza kwa karibu ni kama anakula rubber hivi. Yaani noma tupu. Sijui kama wenzangu mshakutana na tukio la aina hii.

Nipeni ushauri kwa sababu sijui Siku nyingine itakuwaje. Kama kuna dawa nitashukuru, nilimshauri aende hospital akasema haumwi, hivyo haoni haja ya kwenda huko.

Ni uhusiano ambao hauna muda mrefu..
Ushauri wako tafadhali.....
 
my daughter is doing the same, anapenda sana kutafuna meno usingizini,
huwa nakasirika namwamsha ila akipitiwa anarudia tena.
binafsi nilikua na hii tabia huko nyuma ila nilikua natafuna mchana ni kama obsession fulani hivi.
 
Afadhali hyo anatafuna meno, mi nikilala ukinigusa tu kosa nashtuka na ninapiga kelele zile za uoga, kwahy ni vijitabia tu... tupelekeni taratibu wenzenu..
 
Hayo ni mazoe tu kazoe kifanya hivyo kuacha mpaka ajijuwe paka aje ajiume ajikute anakidonda hapo ataacha vingnevyo hakuna
 
Heri ya weekend wadau!!

Iko hivi, miezi kadhaa imepita sasa Niko na uhusiano na binti mmoja hapa mjini! Sijawahi kubishana nae, yaani kwa kifupi tuko poa. Issue ni kwamba huyu binti akishtuka kidogo toka usingizin au akijigeuza tu, anatafuna meno balaa!!

Siku ya kwanza imetokea hiyo hali nililala nae kwa tahadhari lakini nilijipa moyo labda imetokea kwa muda tu.

Sasa kwa mara nyingine tena naona hali iko vile vile, nilijaribu kumashtua ndugu VP unakula nn usiku huu? Alishtuka akatulia, nilimwambia achama mdomo, sikuona kitu zaid ya meno na ulimi tu!

Asubuhi yake ali mind lakini tukayamaliza. Ukimsikiliza kwa karibu ni kama anakula rubber hivi. Yaani noma tupu. Sijui kama wenzangu mshakutana na tukio la aina hii.

Nipeni ushauri kwa sababu sijui Siku nyingine itakuwaje. Kama kuna dawa nitashukuru, nilimshauri aende hospital akasema haumwi, hivyo haoni haja ya kwenda huko.

Ni uhusiano ambao hauna muda mrefu..
Ushauri wako tafadhali.....
Mkuu, niliachana na binti mmoja kuhusu sababu zingine lakini alikuwa na tabia hiyo pia..
Siyo huyo kweli.. Haaha
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom