Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,957
- 93,937
huwa napata sana tabu kutoa busara zangu pindi ninapogundua mtu anayehitaji ushauri yupo foolish age, maana wengi wao huwa wanafanya mambo kwa kuiga...mmh ndugu mleta mada kimsingi katika mapenzi hupaswi kufanya jambo kwa shingo upande, kama kuna jambo lakutatiza ni vyema ukaonesha msimamo wako katika njia ya busara, jaribu kutafuta hasara ya BJ then mweleze huyo mwandani wako, moja ya hasara nijuyo mimi ni uwezekano wa huyo kigoli kupata fungus za koo au kinywa au hata zaidi ya hapo.