Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Yani hata kama wanawalipa watu kueni basi.
Ninashauri mwacheni apumzike Rais wetu mstaafu kikwete. Mpeni nafasi aliepo afanya kazi wala tusiweke beef ama kuonyesha huyu alikuwa mzuri zaidi ya mwingine na post zisizoisha kilasiku.
Tunaitaji maendeleo tunahitaji upendo toka kwa wote waliopo na waliostaafu
Ahsanteni
Ninashauri mwacheni apumzike Rais wetu mstaafu kikwete. Mpeni nafasi aliepo afanya kazi wala tusiweke beef ama kuonyesha huyu alikuwa mzuri zaidi ya mwingine na post zisizoisha kilasiku.
Tunaitaji maendeleo tunahitaji upendo toka kwa wote waliopo na waliostaafu
Ahsanteni