Mpeni kiti Mchungaji Msigwa!

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
13,344
14,816
Kwa muda mrefu Rais amepiga kelele kuhimiza maendeleo,na kuwapa majukumu watendaji wa serkiali kusimamia upatikanaji wa madawati na kweli msukumo umepatikana na jambo limeonekana.

Mada kuu nataka kumpongeza Msigwa na Lema kwa ujumla watu hawa wawili wameonyesha upinzani tofauti na fikra tofauti kuwa wao wanaweza kupewa uongozi wa juu na bila kujali itikadi wakashirikiana na serikali na kutokujali mihemko ya kwenye mitandao.

Alianza Lema alipoonyesha hayupo tayari kuona rais aliechaguliwa kihalali akitukanwa na hapendi,tukio la Msigwa limeonyesha si kile akisemacho ndio afanyacho hapana,yeye ameonyesha habari nyingine kuwa suala la maendeleo ya nchi ni suala la wote na linagusa Tanzania nzima,
Wito Msigwa amethubutu wengine wenye kufuata maneno yake tuige!

Tuungane kumpigia chapuo apewe uenyekiti CHADEMA ameonyesha utofauti ya wenyeviti wote wa upinzani!

Nawasilisha mawazo huru!
 
ukiwa kiongozi unatakiwa ukubali pia mawazo mbadala yanayokosoa maamuzi yako au utendaji wako! lakini ukiona anayekukosoa ni adui ultimately utabadilika kuwa dictator!na upinzani pia hautarajiwi kupinga kila jambo wanatakiwa kukubali baadhi ya positive issues na kuja na mawazo mbadala kwa yale mambo ambayo hayaendi vizuri na yapo mengi tuu!
 
Msigwa ana mgomo baridi. Alimtukana sana Lowasa na sasa anaona aibu kukaa naye meza moja
 
ukawa hua kauli zao hazina tahadhari. wanajibwatukiaga tu wakisahau kuweka akiba. haya sasa sijui atafanya nini kufuta kauli zake zote za nyuma.
 
Wameona hakuna anayewapa attention na zile siasa za midundiko wameanza kujibaraguza.

Dawa ni kuwa-ignore tu.
 
Tafsiri ya kauli ya Rais yakuacha siasa hadi 2020 ndio hii sasa kuna baadhi ya special diplomas wakaamua kuipotosha.

Uchaguzi umekwisha watu wanataka maendeleo
 
Kile alicho kifanya msigwa nani atakiona kibaya!?
Jk aliwai kusema Akili zakuambiwa tia na zako
Sio kila asemacho Mbowe kipo sawa
Kunamengi yakumpuuza
 
Kwani Msigwa ni mtu wa kaskazini? Kazaliwa kilimajaro,Arusha au Manyara? Nauliza tu kujua.Kuuliza si ujinga
Wewe ni kunguni hizo habari za ukanda umeziona wapi uliza pia na katibu mkuu niwa wapi....tatizo mna mawazo mgando, wakati mwingne kuuliza ni ujinga
 
Kwa muda mrefu Rais amepiga kelele kuhimiza maendeleo,na kuwapa majukumu watendaji wa serkiali kusimamia upatikanaji wa madawati na kweli msukumo umepatikana na jambo limeonekana.

Mada kuu nataka kumpongeza Msigwa na Lema kwa ujumla watu hawa wawili wameonyesha upinzani tofauti na fikra tofauti kuwa wao wanaweza kupewa uongozi wa juu na bila kujali itikadi wakashirikiana na serikali na kutokujali mihemko ya kwenye mitandao.

Alianza Lema alipoonyesha hayupo tayari kuona rais aliechaguliwa kihalali akitukanwa na hapendi,tukio la Msigwa limeonyesha si kile akisemacho ndio afanyacho hapana,yeye ameonyesha habari nyingine kuwa suala la maendeleo ya nchi ni suala la wote na linagusa Tanzania nzima,
Wito Msigwa amethubutu wengine wenye kufuata maneno yake tuige!

Tuungane kumpigia chapuo apewe uenyekiti CHADEMA ameonyesha utofauti ya wenyeviti wote wa upinzani!

Nawasilisha mawazo huru!
CDM HATUONGOZWI NA MATUMBO KAMA MLIVYO HUKO,HUKU TUKO FOR MAJORITY BENEFITS AND NOT MINORITY AS @SWISSWISM..TAKE AWAY UA NONSENSE & NOT TO US.
 
ukiwa kiongozi unatakiwa ukubali pia mawazo mbadala yanayokosoa maamuzi yako au utendaji wako! lakini ukiona anayekukosoa ni adui ultimately utabadilika kuwa dictator!na upinzani pia hautarajiwi kupinga kila jambo wanatakiwa kukubali baadhi ya positive issues na kuja na mawazo mbadala kwa yale mambo ambayo hayaendi vizuri na yapo mengi tuu!
ukiwa kiongozi unatakiwa ukubali pia mawazo mbadala yanayokosoa maamuzi yako au utendaji wako! lakini ukiona anayekukosoa ni adui ultimately utabadilika kuwa dictator!na upinzani pia hautarajiwi kupinga kila jambo wanatakiwa kukubali baadhi ya positive issues na kuja na mawazo mbadala kwa yale mambo ambayo hayaendi vizuri na yapo mengi tuu!
Mwisho wa wote tunakata maendeleo na kujenga nchi yetu!
 
Kwa muda mrefu Rais amepiga kelele kuhimiza maendeleo,na kuwapa majukumu watendaji wa serkiali kusimamia upatikanaji wa madawati na kweli msukumo umepatikana na jambo limeonekana.

Mada kuu nataka kumpongeza Msigwa na Lema kwa ujumla watu hawa wawili wameonyesha upinzani tofauti na fikra tofauti kuwa wao wanaweza kupewa uongozi wa juu na bila kujali itikadi wakashirikiana na serikali na kutokujali mihemko ya kwenye mitandao.

Alianza Lema alipoonyesha hayupo tayari kuona rais aliechaguliwa kihalali akitukanwa na hapendi,tukio la Msigwa limeonyesha si kile akisemacho ndio afanyacho hapana,yeye ameonyesha habari nyingine kuwa suala la maendeleo ya nchi ni suala la wote na linagusa Tanzania nzima,
Wito Msigwa amethubutu wengine wenye kufuata maneno yake tuige!

Tuungane kumpigia chapuo apewe uenyekiti CHADEMA ameonyesha utofauti ya wenyeviti wote wa upinzani!

Nawasilisha mawazo huru!

We nani katika chadema
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom