Mpeni Acting CAG huo mkoba

Ozzie

JF-Expert Member
Oct 9, 2007
3,217
1,259
Kuna thread ziliandikwa humu kuhusu warithi watarajiwa wa CAG aliyeondoka Utuoh. Naona acting CAG ameonesha uwezo na spirit ileile ya CAG wa zamani. Ni vema jamaa akaachiwa nafasi.
 
Anaitwa Francis Mwakapalila,wazee wa National Audit wanamwita "dogo"!katika mazuri aliyoyafanya Utoh huyu bwana alikuwa nyuma!jamaa mzuri ila "mchumi",Utoh alijenga kwanza maslahi ya watumishi japo kidogo ila tuliridhika na kupiga kazi.
 
Back
Top Bottom