Kwanini?hali ni mbaya sana mkuu
Tumeambiwa tutomba.. tu bila kinga wala uzazi wa mpango, atatusaidia kulea jamani.View attachment 862411
Mtukufu, kwa hali hiyo hapo juu mimi niatendelea kumeza kidonge cha uzazi wa mpango.
Si Kichaa jamani?Nimezoea kauli kama zile kuzisikia kwa walevi ila siku hizi hadi waheshimiwa
Fanya kazi wewee acha porojoKwanini?
Hatari aise kama huko nyarugusu na itigiHapo very likely ni makao makuu wa Wilaya au Mkoa, sijua hali huko Litumbandyosi au Namwinyu ikoje!
Litumbandyosi???? Huko ni hatari bado huhafika LipalambaHapo very likely ni makao makuu wa Wilaya au Mkoa, sijua hali huko Litumbandyosi au Namwinyu ikoje!
View attachment 862411
View attachment 862446
Mtukufu, kwa hali hiyo hapo juu mimi niatendelea kumeza kidonge cha uzazi wa mpango.
ww ndio uache ujinga na mungu aliposema tuzaane tuijaze dunia una cha ku comment?Tumeambiwa tutomba.. tu bila kinga wala uzazi wa mpango, atatusaidia kulea jamani.
Huyu ni mkuu wa nchi mwenye maono mabovu kabisa. Hivi hajui panya roads, watoto ombaomba nk ni mfano wa kifyatua bila mpango?
Elimu bure sio ndio ufumbuzi wa haya matatizo, aache ujinga.
Mwaka juzi alitamka hivyo Dar mkabadilisha kuwa aliwatania wazaramo!! Ameamua kusemea kwao safari hii .Nimezoea kauli kama zile kuzisikia kwa walevi ila siku hizi hadi waheshimiwa