Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,483
- 86,000
Ni jumapili nimetoka ibadani, nipo hapa nyumbani, limenijia wazo hili ambalo linanisumbua kichwa changu, Hivi kweli Mpendazoe sio Mrithi wa Mrema? Urithi ninaozungumzia hapa ni ule wa kazim, kutokana na ukweli kwamba sasa Mrema anaelekea kurudi CCM baada ya kuvidhoofisha kabisa vyama vya upinzani. Je kuna uwezekano kuwa CCM wameamua kumtafuta mrithi wa Mrema ili kuendeleza jahazi??
Juzi kakimbilia CCJ, leo kakimbilia CHADEMA! Kesho haijulikani ni wapi, labda ni sehemu itakayoonekana inaleta upinzani wa kweli? Nisaidieni jamani, hivi kweli Mpendazoe sio Mrithi wa Mrema CCM? Kujibu swala hili linganisha kazi za Mrema na anazofanya Mpendazoe sasa...
Jumapili njema
Juzi kakimbilia CCJ, leo kakimbilia CHADEMA! Kesho haijulikani ni wapi, labda ni sehemu itakayoonekana inaleta upinzani wa kweli? Nisaidieni jamani, hivi kweli Mpendazoe sio Mrithi wa Mrema CCM? Kujibu swala hili linganisha kazi za Mrema na anazofanya Mpendazoe sasa...
Jumapili njema