G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,874
Wakuu, Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020.
Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.
Alale salama
Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020.
Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.
Alale salama