johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,836
Mkuu inabidi Chadema wakupe kitengo cha rambirambiWakuu, huyu bwana alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020. Leo hii hatunaye baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.
Alale salama
View attachment 1442868
Rip mpelelezi mkuu!