Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,684
- 225,318
"with a PhD education"😂😂😂Thanks a million ,with my elementary education to be compared with a PhD education that is good news to me.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na muda kaka.tangu pasaka niko ndani !!maana nilikiwa liquid halafu mwenyw bar akakutwa na corona na kamand musilimu ambaye nikijiwe chake naye alikuwatwa na pierre pia so nikafanya self isolation
kweli apunguze . . .kazi ipo tuPole sana kwa wafiwa. Prime Minister achukue tahadhari maana kuna watu kadhaa amekutana nao karibuni na sasa wamefariki.
Kama ni siku zao zilifika basi haina shida ila kama ni COVID 19, apunguze kukutana na watu kama anavyofanya sasa.
unajua nini kitafuata 2021?Kibaya zaidi watu wanaugua muda mfupi tu na kufariki huu mwaka uishe haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amemchanganya, Minyenya kwa miaka mingi amekuwa Mkuu wa PCCB mikoa tofauti tofauti na Hana muda mrefu sana makao makuu! Wakati mahakama ya mafisadi inaanza na hizo kesi za hao watu alikuwa bado hajahamia makao makuuNadhani kweli amemchanganya huyu Minyenya. Kama ametokea mikoani na hapo makao makuu ana muda mfupi sasa anahusikaje na kesi ya Kabendera?
Hawa ndo wanakaaga na majalada ya watuhumiwa kwa miaka hata 10 ama sio? Wakiisaidia serikali kutesa watu wakibaki mahabusu kwa muda mrefu
Ukisikia ameugua Muda mfupi ujue ni Covid 19, hii ndio Tanzania buana.Shida ni nini?
Isiwe Changamoto ya Upumuaji tu.
Acheni uchawi nyie watu, kwani zamani watu walikuwa hawafi??!, yaani sasa hivi asife hata mlinzi, tayari Tanzia inaletwa tena mnaileta kwa bashasha as if ni sifa kuleta habari za Tanzia, acheni hizo bhana
Muda wake umeisha R.I.PWakuu, Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020.
Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.
Alale salama
View attachment 1442868
Kama sikosei alitokea Katavi kama Mkuu wa PCCB Mkoa. So sadly,jamaa alikuwa mtu fair, humble na msikivu sana. Pumzika kwa amani Kamanda.Amemchanganya, Minyenya kwa miaka mingi amekuwa Mkuu wa PCCB mikoa tofauti tofauti na Hana muda mrefu sana makao makuu! Wakati mahakama ya mafisadi inaanza na hizo kesi za hao watu alikuwa bado hajahamia makao makuu
Sent using kidole gumba
Yaap alitokea KataviKama sikosei alitokea Katavi kama Mkuu wa PCCB Mkoa. So sadly,jamaa alikuwa mtu fair, humble na msikivu sana. Pumzika kwa amani Kamanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa mtu poa sana, mcheshi na mtu wa watu, poleni sana wana familia, ndugu na jamaa kwa kuondokewa na mpendwa wenu. R.I.P bossKama sikosei alitokea Katavi kama Mkuu wa PCCB Mkoa. So sadly,jamaa alikuwa mtu fair, humble na msikivu sana. Pumzika kwa amani Kamanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimpangie Mungu ndugu yangu, Sema "alale anapostahili"Wakuu, Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020.
Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.
Alale salama
View attachment 1442868