TANZIA Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia

Pole sana kwa wafiwa. Prime Minister achukue tahadhari maana kuna watu kadhaa amekutana nao karibuni na sasa wamefariki.

Kama ni siku zao zilifika basi haina shida ila kama ni COVID 19, apunguze kukutana na watu kama anavyofanya sasa.
kweli apunguze . . .kazi ipo tu
 
Nadhani kweli amemchanganya huyu Minyenya. Kama ametokea mikoani na hapo makao makuu ana muda mfupi sasa anahusikaje na kesi ya Kabendera?
Amemchanganya, Minyenya kwa miaka mingi amekuwa Mkuu wa PCCB mikoa tofauti tofauti na Hana muda mrefu sana makao makuu! Wakati mahakama ya mafisadi inaanza na hizo kesi za hao watu alikuwa bado hajahamia makao makuu

Sent using kidole gumba
 
Wakuu, Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020.

Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.

Alale salama
View attachment 1442868
Muda wake umeisha R.I.P
 
Amemchanganya, Minyenya kwa miaka mingi amekuwa Mkuu wa PCCB mikoa tofauti tofauti na Hana muda mrefu sana makao makuu! Wakati mahakama ya mafisadi inaanza na hizo kesi za hao watu alikuwa bado hajahamia makao makuu

Sent using kidole gumba
Kama sikosei alitokea Katavi kama Mkuu wa PCCB Mkoa. So sadly,jamaa alikuwa mtu fair, humble na msikivu sana. Pumzika kwa amani Kamanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya mwaka 2019/2020.

Aliyezungushiwa alama ni yeye akiwa pamoja na waziri mkuu wakati huu wa mapambano ya COVID 19.

Alale salama
View attachment 1442868
Usimpangie Mungu ndugu yangu, Sema "alale anapostahili"
 
Back
Top Bottom