Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,622
- 27,561
Ndoo G huyo?
Ndio maaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoo G huyo?
Ooooh! Basi sawa.Ndio maaa
Aisee ๐๐๐๐๐๐๐๐๐Msenge anajikuta Chris brown sana qmmmake๐๐๐๐๐,,,,eti hajawahi kula Topaz af unakuta mwamba mwenyewe sura kama kitako cha karai!
Hahah mama naona umecheeeka mwenyeweAisee ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Kho kho kho khoA nakupenda sana ila naomba uoe ili niwe huru, unapoendelea kuwa bachela unanifanya nihisi labda kuna siku tutakuwa pamoja kitu ambacho najua hakipo
Kho kho kho kho
Jamani kwani mimi nimefanyaje???Umbea tu
Halafu jana umenidanganyaJamani kwani mimi nimefanyaje???
Mdogo angu em nifungukie vizuri basi kwa nini hamuwezi kuwa pamoja...A nakupenda sana ila naomba uoe ili niwe huru, unapoendelea kuwa bachela unanifanya nihisi labda kuna siku tutakuwa pamoja kitu ambacho najua hakipo
Mdogo wangu hata sielewi, nimeandika tuMdogo angu em nifungukie vizuri basi kwa nini hamuwezi kuwa pamoja...
NakusalimiaMdogo angu em nifungukie vizuri basi kwa nini hamuwezi kuwa pamoja...
Nsalimie mdogo wakoMdogo wangu hata sielewi, nimeandika tu
Mdogo wangu hata sielewi, nimeandika tu
Nakusalimia
Nikupe namba yake umsalimie mwenyewe?Nsalimie mdogo wako
Haha ushaanza mambo yako