Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
Mpare
bahili...
Alinunua mbuzi!!
Akamwambia mpishi,nyama nuthu ipike pilau na
nyingine itie kwenye fritha!!
Kichwa fanya thupu na miguu fanya mchudhi chuku
chuku!!
Ngodhi uthitupe tutafanya mkeka... Utumbo pika na
ndidhi na mifupa tutawaudhia wenye mbwa! Mkia
nitengenedhee uthinga wa kufukudhia indhi, kinyethi
kihifadhi kwa mbolea ya bustani...
Mpishi akamuuliza: Hutaki na sauti ya mbuzi 2fanye
ringtone kwenye simu yako?!
bahili...
Alinunua mbuzi!!
Akamwambia mpishi,nyama nuthu ipike pilau na
nyingine itie kwenye fritha!!
Kichwa fanya thupu na miguu fanya mchudhi chuku
chuku!!
Ngodhi uthitupe tutafanya mkeka... Utumbo pika na
ndidhi na mifupa tutawaudhia wenye mbwa! Mkia
nitengenedhee uthinga wa kufukudhia indhi, kinyethi
kihifadhi kwa mbolea ya bustani...
Mpishi akamuuliza: Hutaki na sauti ya mbuzi 2fanye
ringtone kwenye simu yako?!