Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,009
- 7,309
hahahaha watu wengi wanaokwepa ussue za kodi wanawatumua machinga....mtu anaduka lake ila bidhaa asilimia 40 zinatembezwa nje na machinga......Kuna siku nilikuwa naenda Sumbawanga from Mbeya. Sasa kufika Tunduma nikaona abiria wengi tuu wananunua sukari from Zambia ambazo wamachinga wanauza openly hapo Tunduma. Tulipofika huko mbele wakaingia TRA na kutaka eti kukamata abiria walionunua sukari, which was 2 to 3 kgs kwa walio wengi. Bwana wee watu wakachachamaa kwamba how come hawaendi kuwakamata wauzaji pale Tunduma? Wengine wakasema wamenunua Mbeya kwenye maduka, yaani ilikuwa balaa, mwishowe ilibidi waondoke tuu.
mkuu ila hiyo sukari nitaifuata nione kama inaquality nzuri. ...vipi upande wa Flat screen Tunduma bei ni nzuri au sawa na mbeya mjini?