Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,651
Niko na binti mmoja ana miaka 18 na nimemzidi miaka minne sasa huyu mtoto yupo advance anadai ananipenda kweli na mimi pia vivi hivo.
Lakini ishu ni kwamba uyu binti anatakaa mimi ndo nimuoe na amen'gan'gana kweli kweli basi mimi nimemkubalia tu kwamba ndio mimi nitakuoa ila katika fikra zangu nikiona kabisa its imposible kumuoa maana mimi kuoa kwangu ni mpaka 7 to 10 years to come.
Japo pia ingekuwa heko ningeweza kumuoa huyu mwanadada lakini sina imani kabisa kama eti mwanamke anaweza kuwa mchumba wako kwa miaka 7 hadi 10 msichokane.
Ni fikra zangu tu hizo sasa nyinyi wana MMU embu nijuzeni je kweli inawezekana yeye akavumilia na mimi nikavumilia kwa 7 -10 years tukaoana?
Thanks in Regards!
Lakini ishu ni kwamba uyu binti anatakaa mimi ndo nimuoe na amen'gan'gana kweli kweli basi mimi nimemkubalia tu kwamba ndio mimi nitakuoa ila katika fikra zangu nikiona kabisa its imposible kumuoa maana mimi kuoa kwangu ni mpaka 7 to 10 years to come.
Japo pia ingekuwa heko ningeweza kumuoa huyu mwanadada lakini sina imani kabisa kama eti mwanamke anaweza kuwa mchumba wako kwa miaka 7 hadi 10 msichokane.
Ni fikra zangu tu hizo sasa nyinyi wana MMU embu nijuzeni je kweli inawezekana yeye akavumilia na mimi nikavumilia kwa 7 -10 years tukaoana?
Thanks in Regards!