Mpango wa kuwawekwa kizuizini Viongozi CHADEMA waiva?

kwa mpango huu wa kutumia vyombo vya dola kama walivyotumia makaburu Afrika Kusini sasa natoa rai kwa upinzani tutumie mbinu zile zile walizotumia ANC kukabiliana na udhalimu huu.Tuna base support ya kutosha,tupo na umma.Tusikubali kurudi nyuma.

Na sisi tuwaonyeshe rangi halisi ya wanamageuzi baada ya wao kutuonyesha rangi halisi ya ukoloni na ukandamizaji

Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza

Jimmy Cliff summed it all


Jimmy Cliff -House of exile - YouTube

There's a day of feasting and a day of famine
Day of sadness and a day of joy
You could see in the day of feasting
Life isn't just a little play-like toy.


So the day arrived when you least expected
Cos you always thought you were well protected
Now you feel like a fish out of water
So now you're wondering what's the matter.


Oh remember you said it wouldn't happen to you
Now you're thinking how to start a new
A drowning man will catch at a straw
You were warned but you wouldn't take heed.


Everything in creation must obey a law.
Its true in words as it is in deed.
You were so puffed up in your pomps and pride
You're exposed you got none to hide


Yes, you used to look down on the folks beside you
Never they think you would have come down too


Remember they said you got to reap what you sow
Simple truth everybody know


Chorus
Oh what are you on a house of exile
Watching you now on your own last mile
Yes, what are you on a house of exile
Watching you now on your own last mile


Oh what are you on a house of exile
Watching you now on your own last mile
O OH what are you on a house of exile
Watching you now on your own last mile


Everything in creation must obey a law.
Its true in words as it is in deed
 
Watanzania wanataka Mabadiliko Bila kujali hayo Mabadiliko yataasaidia nini au bila kujali waleta mabadiiko ni watu wa aina gani, so hata wangefungua kesi ngapi hazitasaidia kitu chochote

mabadiliko hata kama unatumbukia shimoni?
 
watu wote wanaojua kuwa dola iko kama mwavuli wa kuwafanyia wao kuendelea kuitafuna nchi hawatakaa hata siku 1 wakubali mabadiliko kirahis kama wengine tunavyofikiria inawezekana kabisa wataua watu wengi sana kwa mitindo tofauti tofauti wanaweza kukuajiri wakuuwe ukiwa mikononi mwao wanaweza kucheka nawe wakuuwe ukiwa na wengine ili watengeneze mazingira ya kuchanganya umma vyovyote vile cha msingi na cha kufahamu ni kuwa ccm si wenzetu kabisa
 
images
CCM vs CHADEMA
images

Inakuja sasa mpango mpya wa kutolea kafara watu ili kujenga hoja ya kubambikiza kesi za kijasusi sheria ambayo haiwapi dhamana wala kuwatoa vifungoni hadi uchaguzi Mkuu upite, wakati tukijua sheria za kugombea vyeo kisiasa aliyekwisha onja kifungo cha muda uliowekwa kisheria haruhusiwi kugombea nafasi za uwakilishi na ukuu wa nchi. Mbaya zaidi vyombo vya dola vinapojenga mfumo wa kuegemea upande mmoja kiutendaji badala ya mfumo wa kutofungamana upande wo wote ili kutendea haki wananchi wote maana dola na vyombo vyake ni mali ya wananchi katu kisheria si miliki ya chama fulani.

Katika kile kilichoelezwa na Wasira hadharani kwamba Chadema itasambaratika katika mwaka huu, dalili za wazi zimeanza kujionyesha kwa suala la Rwekatare. Hoja za Chadema zinaonekana kuwa nzito na za kueleweka na kwa lugha inayoeleweka kwa wananchi. CCM kujenga ushawishi kwa wananchi inaelekea kugonga mwamba kwa sababu hoja zao hazionyeshi uwezo wa kuzipiku zile za Chadema. Wananchi wanapokea hoja za upende wa upinzani kutokana na hali halisi ilivyo nchini kwa sasa. Kwa mantiki hiyo CCM kinachoendelea ni kujaribu kutumia zaidi nguvu ili kuendelea kushika dola kwa nguvu badala ya ridhaa ya kidemokrasia.
Hivi wajibu wa Wasira katika wizara yake sera na taratibu ni kuratibu sera na taratibu za kuangamiza demokrasia nchini?

Tangazo la Chadema la kujiimarisha kikanda linaonekana kutibua nyongo za CCM, maana kwa mfumo huo ni dhahiri mtandao wa Chadema utakuwa na nguvu ya ziada kanda zote na kuwa na nafasi ya kupenya kotekote mikoani hadi vijijini ambako CCM inajivunia kuwa hazina ya ushindi wake. CCM ilibweteka kwa hoja kwamba vyama vya upinzani ni vya msimu na havikubaliki vijijini ambako kuna wapiga kura asilimia 80. Leo mambo yamegeuka ni sera ndiyo yenye kuteka wapiga kura badala ya mazoea ya rangi ya chama.

images

Kauli ya Kikwete Mkutano Mkuu CCM Dodoma ni ya uchochezi?
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wa CCM mjini Dodoma alitoa kauli kwamba atahakikisha kwa njia ye yote anaukabidhi urais kwa CCM si chama cha Upinzani.

Rais ni wa wananchi wote wa Tanzania bila kujali itikadi akisha shika kiti cha Ikulu ni wa wote. Waliomchagua ni watanzania wote wakiwemo CCM na vyama vingine vya siasa hali kadhalika wasio wanachama wa chama cho chote. Kauli ile kimantiki si sahihi kwa Kiongozi wa nchi, maana kwa kauli ile kwa mamlaka aliyo nayo anaweza akayatumia vibaya madaraka yake kwa sababu tu ametamka wazi kwamba atafanya kila liwezekanalo kuhakikisha urais anamwanchi mwanachama wa CCM. Kauli ile ielewekaje?​

Polisi kutotenda haki usawa kwa vyama vyote vya siasa
images

Kashfa ya Mwigulu Mchemba Dola kutochukulia hatua stahiki


  • [*=1]Kashfa alizonazo Mwigulu Mchemba kuhusika kutuma gari lililojaa vijana kwenda kuvuruga mkutano wa Chadema na kusababisha kifo cha mtu mmoja huko mkoani Singida, polisi kutoa ushuhuda huo mahakamani, lakini Mwigulu Mchemba hajaitwa kutoa maelezo polisi na alitakiwa akamatwe kuunganishwa katika kesi hiyo.
    [*=1]Mwigulu Mchemba katika uchochezi kwamba anazo kanda za video za Chadema kupanga mauaji hajaitwa na vyombo vya dola kutoa ufafanuzi and to release kanda hizo kama ushahidi ili vyombo vya dola vifanyie kazi.

Zuio la mikutano ya hadhara dola huthibiti upinzani tu
Wakati wa zuio la mikuano ya hadhara, CCM ruksa kufanya mikutano ya hadhara na hawabughudhiwi na vyombo vya dola lakini vyama vya upinzani wakati wa zuio hata mikutano ya ndani husambaratishwa hadi kusababisha majeruhi na mauaji.​

Tuko la kuuawa mwanahabari wa Chanel Ten huko Iringa ni mfano dhahiri ambapo zuio la mikutano ya hadhara kwa sababu ya zoezi la kuhesabu watu wakati Chadama walikuwa na mkuano wa ndani wakati huo huo CCM ikifanya mkutano mkuwa wa hadhara huko kisiwani Unguja na mkutano mkubwa mwingine wa tamasha kwenye uwanja mojawapo huku bara lakini hawakuguswa na sheria hiyo.​

Pamoja na mengi ambayo yanaelekea Chadema kushikishwa adabu kwa sheria zilezile zinazovunjwa na CCM kutoshikishwa adabu inatia shaka katika vyombo vya dola kutendea haki watanzania, vyama vya siasa ambavyo vyote vina haki sawa kikatiba na wananchi kwa ujumla. Vyama vyote vinawakilisha wananchi walewale walio chini ya dhamana ya kulindwa na vyombo vile vile vya dola.

images
images

Ushindani wa kweli ni hoja, sera na pengine hata utani
Ushindani wa kisiasa si vita, bali hoja na sera
Tujifunze kuendesha siasa za ustaarabu kwa kutumia hoja na kuuza sera kwa wananchi kwa nguvu ya hoja badala ya kuendesha siasa kwa kutumia mfumo wa hoja ya nguvu. Mambo yakielekea kukukalia vibaya bora kutulia na kuangalia wapi umeteleza, jipange upya na mkakati mpya ili kuanza kujenga ushawishi wenye kuwakuna wananchi. Chama kinachoshika dola kina nafsi zaidi ya kuonyesha utendaji wake ili kuwavutia wananchi kuliko chama ambacho kisicho shika dola kwa vile kinanadi sera bila utekelezaji. Kitanzi kwa chama chenye kushika dola ni pale kinapohangaika majukwaani kunadi sera wakati ndio watekelezaji wa sera walizozinadi kipindi cha uchaguzi.

Wapigania haki si Wanachadema bali wapenda mabadiliko ya kweli
Wapigania haki tulio wengi si wanachama wa chama fulani ila ni wapenda maendeleo na mabadiliko ya kweli kwa manufaa ya nchi bila kujali chama gani kifanikishe kuibadili Tanzania ya leo iwe tuitakavyo.

Sera ambazo zinatukuna wapigania haki na wananchi ndizo zinazofanya tupende sera hizo si chama. Ushindani wa kimaendeleo ni pale miamba miwili inaposhindana katika kujenga nchi badala ya mmoja asiye na upinzania hatakuwa na ushindani wa kweli bali kuongoza nchi kwa mazoea. Hiyo ndiyo njia nzuri ya kukuza uongozi unaojengeka kwa misingi ya kidemokrasia kwa kupinduana kwenye masanduku ya kura.


Mbona maneno mnayoongea hapa hayana tofauti na yale anayoyasema SLAA kila siku? mna copy na Ku-paste au huwa mnapeana zamu, SLAA kwa waandishi wa habari na wewe kwenye mitandao ya kijamii? hizi si propaganda za kila siku tulizozizoea? Hivi umkamate MWIGULLU MCHEMBA kwa kosa lipi? si na MABERE MARANDO naye akamatwe kwa kusema kuwa CCM wameingiza vifaa toka ISRAEL vya kuingilia mawasiliano? au ZITTO KABWE si akamatwe kwa kusema anawajua watanzania walio na fedha kule uswizi? Kauli ya KIKWETE itakuwaje ya kichochezi? basi kauli kama HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE siyo uchochezi uliokubuhu? TUTACHKUA NCHI utakuwa uchochezi au UHAINI? acheni siasa nyepesi nyepesi kiasi hicho, waelezeni watanzania mtawafanyia nini ili kuwashawishi wawapigie kura 2015 badala ya upuuzi huu.
 
watu wote wanaojua kuwa dola iko kama mwavuli wa kuwafanyia wao kuendelea kuitafuna nchi hawatakaa hata siku 1 wakubali mabadiliko kirahis kama wengine tunavyofikiria inawezekana kabisa wataua watu wengi sana kwa mitindo tofauti tofauti wanaweza kukuajiri wakuuwe ukiwa mikononi mwao wanaweza kucheka nawe wakuuwe ukiwa na wengine ili watengeneze mazingira ya kuchanganya umma vyovyote vile cha msingi na cha kufahamu ni kuwa ccm si wenzetu kabisa

Viceversa is also true my dear, look at LWAKATARE. Kwa vile u mpofu kwa sababu ya siasa huwezi amini kuwa LWAKATARE ni GAIDI , unahitaji kufunguliwa akili.
 
Makala imetulia. Sasa hawa ndugu zetu ccm badala ya mapenzi kwa wananchi, huku ni kubakana hadharani. hata wakitawala hatuwapendi. Kwa nini kulazimisha penzi pasipo penzi? Wanaitafuta laana. nami nauliza Lwakarare ameshtakiwa kwa uchochezi, ni yupi zaidi yeye na mwigulu au shikh igunga?
 
kwa mpango huu wa kutumia vyombo vya dola kama walivyotumia makaburu Afrika Kusini sasa natoa rai kwa upinzani tutumie mbinu zile zile walizotumia ANC kukabiliana na udhalimu huu.Tuna base support ya kutosha,tupo na umma.Tusikubali kurudi nyuma.

Na sisi tuwaonyeshe rangi halisi ya wanamageuzi baada ya wao kutuonyesha rangi halisi ya ukoloni na ukandamizaji

Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza

wewe ni mnafiki,msaliti na mchumia tumbo kibaraka, huna hadhi ya kujiita mwanamapinduzi
 
Makala imetulia. Sasa hawa ndugu zetu ccm badala ya mapenzi kwa wananchi, huku ni kubakana hadharani. hata wakitawala hatuwapendi. Kwa nini kulazimisha penzi pasipo penzi? Wanaitafuta laana. nami nauliza Lwakarare ameshtakiwa kwa uchochezi, ni yupi zaidi yeye na mwigulu au shikh igunga?

wewe ni bendera fuata upepo hata hujui unachokiandika...lwaka ni gaidi na ushahidi wa video upo, acha kuropoka
 
Katika suala la Lwakatare sitaki kusema CDM inaonewa. Lwakatare mwenyewe amekiri nyumba iliyorikodiwa hiyo video clip ni yake ila hajui anayesema ni nani??. Sasa kuonewa hapo kuko wapi? Pengine mamlaka ijiulize. "WAKO WANGAPI NYUMA YA LWAKATARE"??

Chadema sio malaika wasitende kosa. Na wala hawako juu ya sheria wasiadhibiwe. Mbona wanapokuwa na haki mahakama huwapa haki hiyo?
 
Wewe subiri ukajieleze ule unga uliutoa wapi na nani alikutuma ukamuue Zitto.

Wewe na Mwigulu ndiyo mashahidi muhimu sana , Mwigulu anamiliki video za mauaji hilo linajulikana , kumbe na wewe unafahamu habari za unga wa Saa Nane ? computer imekuponza , unaleta Masihara kwenye mambo muhimu siyo ! Utasaidia hapo baadaye kidogo .
 
kuna kosa gani kwa mwenyekiti wa chama katika mkutano mkuu wa chama kusema kuwa NITAHAKIKISHA KUWA RAIS AJAYE ANATOKA CCM. huo ndiyo uongozi. unataka awaambieje? acha ujuha ndugu yangu. mbona mbowe alitangaza karatu kuwa mgombea ajaye kwa tiketi ya chdm ni slaa na lazima atachukua nchi!?

labda video na ushahidi wa mwigulu ndiyo hii ya lwakatare.

kama viongozi ni wanaharakati siyo wanasiasa unataka nini kifanyike? hawawezi kupanga mipango ya kuteka waandishi, kunyofoa kucha na kutoboa mamcho kisha waachwe. huo ni ugaidi na ni magaidi viongozi sampuli hii. uliyeanzisha uzi umetumia muda mwingi kuandika uppuzi! shame on u!
th

mambo yalianza kwa kumteka, kumnyanyasa na kumdhalilisha dc kule igunga
th

baada ya wiki moja mpiga kampeni wa ccm akamwagiwa tindikali igunga na vijana wa chdm
th

hamad, tukasikia dkt ulimboka kanyofolewa kucha na kuteswa
th

Mungu wangu, na kibanda naye baada ya kuhama chumba cha habari akatobolewa jicho


tuache siasa za jazba. tusilazimishe kila mtanzania aamini na kuikubali chadema. kila mtu ana uhuru wa kukiunga mkono chama akipendacho.
 
Mambo mengine ni magumu sana kuyaamini. Lakini kama mpango huo ni wa kweli kwanini serikali iliridhia uwepo wa vyama vingi? Basi mfumo wa vyama vingi ufutwe. Maana kama ni kweli wananchi si wataogopa? Binafsi sikubaliani ni dhana hii ya kwamba kuna mipango ya kuwafunga viongozi wa upinzani. Kwasababu hata kwenye nomination ya CCM 2015 baadhi ya vigogo wa CCM ambao hawataridhika na watakayempendekeza kugombea watakimbilia kwa upinzani sasa kwanini wawatie hofu wananchi?
 
mambo yalianza kwa kumteka, kumnyanyasa na kumdhalilisha dc kule igunga

baada ya wiki moja mpiga kampeni wa ccm akamwagiwa tindikali igunga na vijana wa chdm

hamad, tukasikia dkt ulimboka kanyofolewa kucha na kuteswa

Mungu wangu, na kibanda naye baada ya kuhama chumba cha habari akatobolewa jicho


tuache siasa za jazba. tusilazimishe kila mtanzania aamini na kuikubali chadema. kila mtu ana uhuru wa kukiunga mkono chama akipendacho.

Mwenye jazba ni CCM mana utawala huo unaingia kaburini. Hapo kwenye italics na underline Chadema haijawahi kusomba watu na mafuso; mbona hutambui uhuru wa wanaokipenda Chadema?
 
Mipango yote michafu wanayofanya inajulikana , siyo rahisi kuwang'oa madarakani waliozoea kugawana mali za nchi kama vile wanatoa shambani mwao ! Hata mbwa wako mwenyewe jaribu kumnyang'anya pande la nyama ulilomrushia , ni lazima pachimbike ! Hiyo ndiyo hulka ya viumbe hai , Bali ukweli ni kwamba hapajawahi kutokea mahali popote duniani ambapo Dhuluma iliwahi kushinda Haki , na naomba kutabiri kwamba kuna vijana wa nchi hii ambao nusu ya umri wao uliosalia hapa duniani wataumalizia Jela !
 
images
CCM vs CHADEMA
images

Inakuja sasa mpango mpya wa kutolea kafara watu ili kujenga hoja ya kubambikiza kesi za kijasusi sheria ambayo haiwapi dhamana wala kuwatoa vifungoni hadi uchaguzi Mkuu upite, wakati tukijua sheria za kugombea vyeo kisiasa aliyekwisha onja kifungo cha muda uliowekwa kisheria haruhusiwi kugombea nafasi za uwakilishi na ukuu wa nchi. Mbaya zaidi vyombo vya dola vinapojenga mfumo wa kuegemea upande mmoja kiutendaji badala ya mfumo wa kutofungamana upande wo wote ili kutendea haki wananchi wote maana dola na vyombo vyake ni mali ya wananchi katu kisheria si miliki ya chama fulani.

Katika kile kilichoelezwa na Wasira hadharani kwamba Chadema itasambaratika katika mwaka huu, dalili za wazi zimeanza kujionyesha kwa suala la Rwekatare. Hoja za Chadema zinaonekana kuwa nzito na za kueleweka na kwa lugha inayoeleweka kwa wananchi. CCM kujenga ushawishi kwa wananchi inaelekea kugonga mwamba kwa sababu hoja zao hazionyeshi uwezo wa kuzipiku zile za Chadema. Wananchi wanapokea hoja za upende wa upinzani kutokana na hali halisi ilivyo nchini kwa sasa. Kwa mantiki hiyo CCM kinachoendelea ni kujaribu kutumia zaidi nguvu ili kuendelea kushika dola kwa nguvu badala ya ridhaa ya kidemokrasia.
Hivi wajibu wa Wasira katika wizara yake sera na taratibu ni kuratibu sera na taratibu za kuangamiza demokrasia nchini?

Tangazo la Chadema la kujiimarisha kikanda linaonekana kutibua nyongo za CCM, maana kwa mfumo huo ni dhahiri mtandao wa Chadema utakuwa na nguvu ya ziada kanda zote na kuwa na nafasi ya kupenya kotekote mikoani hadi vijijini ambako CCM inajivunia kuwa hazina ya ushindi wake. CCM ilibweteka kwa hoja kwamba vyama vya upinzani ni vya msimu na havikubaliki vijijini ambako kuna wapiga kura asilimia 80. Leo mambo yamegeuka ni sera ndiyo yenye kuteka wapiga kura badala ya mazoea ya rangi ya chama.

images

Kauli ya Kikwete Mkutano Mkuu CCM Dodoma ni ya uchochezi?
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wa CCM mjini Dodoma alitoa kauli kwamba atahakikisha kwa njia ye yote anaukabidhi urais kwa CCM si chama cha Upinzani.

Rais ni wa wananchi wote wa Tanzania bila kujali itikadi akisha shika kiti cha Ikulu ni wa wote. Waliomchagua ni watanzania wote wakiwemo CCM na vyama vingine vya siasa hali kadhalika wasio wanachama wa chama cho chote. Kauli ile kimantiki si sahihi kwa Kiongozi wa nchi, maana kwa kauli ile kwa mamlaka aliyo nayo anaweza akayatumia vibaya madaraka yake kwa sababu tu ametamka wazi kwamba atafanya kila liwezekanalo kuhakikisha urais anamwanchi mwanachama wa CCM. Kauli ile ielewekaje?​

Polisi kutotenda haki usawa kwa vyama vyote vya siasa
images

Kashfa ya Mwigulu Mchemba Dola kutochukulia hatua stahiki


  • [*=1]Kashfa alizonazo Mwigulu Mchemba kuhusika kutuma gari lililojaa vijana kwenda kuvuruga mkutano wa Chadema na kusababisha kifo cha mtu mmoja huko mkoani Singida, polisi kutoa ushuhuda huo mahakamani, lakini Mwigulu Mchemba hajaitwa kutoa maelezo polisi na alitakiwa akamatwe kuunganishwa katika kesi hiyo.
    [*=1]Mwigulu Mchemba katika uchochezi kwamba anazo kanda za video za Chadema kupanga mauaji hajaitwa na vyombo vya dola kutoa ufafanuzi and to release kanda hizo kama ushahidi ili vyombo vya dola vifanyie kazi.

Zuio la mikutano ya hadhara dola huthibiti upinzani tu
Wakati wa zuio la mikuano ya hadhara, CCM ruksa kufanya mikutano ya hadhara na hawabughudhiwi na vyombo vya dola lakini vyama vya upinzani wakati wa zuio hata mikutano ya ndani husambaratishwa hadi kusababisha majeruhi na mauaji.​

Tuko la kuuawa mwanahabari wa Chanel Ten huko Iringa ni mfano dhahiri ambapo zuio la mikutano ya hadhara kwa sababu ya zoezi la kuhesabu watu wakati Chadama walikuwa na mkuano wa ndani wakati huo huo CCM ikifanya mkutano mkuwa wa hadhara huko kisiwani Unguja na mkutano mkubwa mwingine wa tamasha kwenye uwanja mojawapo huku bara lakini hawakuguswa na sheria hiyo.​

Pamoja na mengi ambayo yanaelekea Chadema kushikishwa adabu kwa sheria zilezile zinazovunjwa na CCM kutoshikishwa adabu inatia shaka katika vyombo vya dola kutendea haki watanzania, vyama vya siasa ambavyo vyote vina haki sawa kikatiba na wananchi kwa ujumla. Vyama vyote vinawakilisha wananchi walewale walio chini ya dhamana ya kulindwa na vyombo vile vile vya dola.

images
images

Ushindani wa kweli ni hoja, sera na pengine hata utani
Ushindani wa kisiasa si vita, bali hoja na sera
Tujifunze kuendesha siasa za ustaarabu kwa kutumia hoja na kuuza sera kwa wananchi kwa nguvu ya hoja badala ya kuendesha siasa kwa kutumia mfumo wa hoja ya nguvu. Mambo yakielekea kukukalia vibaya bora kutulia na kuangalia wapi umeteleza, jipange upya na mkakati mpya ili kuanza kujenga ushawishi wenye kuwakuna wananchi. Chama kinachoshika dola kina nafsi zaidi ya kuonyesha utendaji wake ili kuwavutia wananchi kuliko chama ambacho kisicho shika dola kwa vile kinanadi sera bila utekelezaji. Kitanzi kwa chama chenye kushika dola ni pale kinapohangaika majukwaani kunadi sera wakati ndio watekelezaji wa sera walizozinadi kipindi cha uchaguzi.

Wapigania haki si Wanachadema bali wapenda mabadiliko ya kweli
Wapigania haki tulio wengi si wanachama wa chama fulani ila ni wapenda maendeleo na mabadiliko ya kweli kwa manufaa ya nchi bila kujali chama gani kifanikishe kuibadili Tanzania ya leo iwe tuitakavyo.

Sera ambazo zinatukuna wapigania haki na wananchi ndizo zinazofanya tupende sera hizo si chama. Ushindani wa kimaendeleo ni pale miamba miwili inaposhindana katika kujenga nchi badala ya mmoja asiye na upinzania hatakuwa na ushindani wa kweli bali kuongoza nchi kwa mazoea. Hiyo ndiyo njia nzuri ya kukuza uongozi unaojengeka kwa misingi ya kidemokrasia kwa kupinduana kwenye masanduku ya kura.


Wakileta janja ya nyani 2015 zitakunjwa... Itamwagwa kupinga uonevu. Nani atashindana na umma? Je, jumuiya za kimataifa?
 
Mambo mengine ni magumu sana kuyaamini. Lakini kama mpango huo ni wa kweli kwanini serikali iliridhia uwepo wa vyama vingi? Basi mfumo wa vyama vingi ufutwe. Maana kama ni kweli wananchi si wataogopa? Binafsi sikubaliani ni dhana hii ya kwamba kuna mipango ya kuwafunga viongozi wa upinzani. Kwasababu hata kwenye nomination ya CCM 2015 baadhi ya vigogo wa CCM ambao hawataridhika na watakayempendekeza kugombea watakimbilia kwa upinzani sasa kwanini wawatie hofu wananchi?

vyama vingi vilianzishwa kwa nia njema. tatizo lililopo ni kwamba mfumo wa vyama vingi unatufanya tujikite kwenye udini, ukanda, ukabila na ugaidi.

chdm kimelalamikiwa kuwa na udini, ukabila, ukanda na ugaidi. unataka nikupe mifano ya kila kipengele?
 
Wakati Utawala dhalimu wa Kikwete na vyombo vyake vya dola ukihangaika na Lwakatare ,Mwenyekiti wa chadema yeye yuko busy anaendeleza libeneke la kuzindua Kanda za Kichama,huko kanda ya ziwa mashariki wananchi wakijimwamwaya kwa maandamano ,huku wakiserebuka na nyimbo za kimapinduzi ,ni nani hapa duniani alifanikiwa kuzima mabadariko kwa kutumia udikteta aje atajwe
Kiama cha CCM ni hizi kanda za kichama chadema inazinduwa kazi za kichama zimerudishwa kwa wananchi wenyewe
wao wabaki na maaigizo eti wanaibana serikali ili washinde uchaguzi 2015,kwa maana ya kuwa baada ya uchaguzi wanachi wataambiwa tena bye bye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom