Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
He, hii kali nimeipata leo! Swahiba wangu aliye katika gazeti dada la Uhuru Mzalendo la kila wiki, kanieleza kuwa kulikuwa na mpango, takriban wiki mbili zilizopita, wa kuanzisha kura ya maoni kuhusu wagombea wa urais ambayo ingeendeshwa katika mtandao wa gazeti hilo. Kila kitu tayari kilikuwa kimeandaliwa.
Nasikia mpango huo ulikatazwa na wakubwa wa chama hicho pale baadhi ya wafanyakazi wa hilo gazet walipovujisha habari hizo kwa wakubwa hao.
Hofu yao ni ile ile kwamba Dr slaa angeongoza katika kura hiyo. Habari zinasema kutokea hapo ndipo serikali ikaja na wazo la kutaka kudhibiti kura za maoni zinazofanyika nchini.
Nasikia mpango huo ulikatazwa na wakubwa wa chama hicho pale baadhi ya wafanyakazi wa hilo gazet walipovujisha habari hizo kwa wakubwa hao.
Hofu yao ni ile ile kwamba Dr slaa angeongoza katika kura hiyo. Habari zinasema kutokea hapo ndipo serikali ikaja na wazo la kutaka kudhibiti kura za maoni zinazofanyika nchini.