Mpango wa kura ya maoni katika 'Mzalendo' wazimwa na CCM

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
He, hii kali nimeipata leo! Swahiba wangu aliye katika gazeti dada la Uhuru – Mzalendo la kila wiki, kanieleza kuwa kulikuwa na mpango, takriban wiki mbili zilizopita, wa kuanzisha kura ya maoni kuhusu wagombea wa urais ambayo ingeendeshwa katika mtandao wa gazeti hilo. Kila kitu tayari kilikuwa kimeandaliwa.

Nasikia mpango huo ulikatazwa na wakubwa wa chama hicho pale baadhi ya wafanyakazi wa hilo gazet walipovujisha habari hizo kwa wakubwa hao.

Hofu yao ni ile ile – kwamba Dr slaa angeongoza katika kura hiyo. Habari zinasema kutokea hapo ndipo serikali ikaja na wazo la kutaka kudhibiti kura za maoni zinazofanyika nchini.
 
Matokeo yashapikwa tayari kuwa JK ashinde by %85(%5 zaidi ya 2005) na Lipumba awe wa pili.....sasa vichwa vinawauma ndio maana wanaanza kumwambia Dr Slaa akubali matokeo leo hii wakati uchaguzi bado....Kiravu anasubiri tu kuyasoma...hii midahalo na opinion polls wanogopa ziteendelea kumwonyesha Slaa juu zaidi....
 
Matokeo yashapikwa tayari kuwa JK ashinde by %85(%5 zaidi ya 2005) na Lipumba awe wa pili.....sasa vichwa vinawauma ndio maana wanaanza kumwambia Dr Slaa akubali matokeo leo hii wakati uchaguzi bado....Kiravu anasubiri tu kuyasoma...hii midahalo na opinion polls wanogopa ziteendelea kumwonyesha Slaa juu zaidi....

Lipumba awe wa pili? Kwa mikoa ya Lindi na Mtwara tu? Nahofia kwamba mwaka huu NEC imepanga kuleta vurugu kubwa hapa nchini haijiwahi kutokea. Waachane na mpango huo unaosukwa na akina RA na Makamba.
 

Lipumba awe wa pili? Kwa mikoa ya Lindi na Mtwara tu? Nahofia kwamba mwaka huu NEC imepanga kuleta vurugu kubwa hapa nchini haijiwahi kutokea. Waachane na mpango huo unaosukwa na akina RA na Makamba.

Hi strategy yao ya kuwapa kazi ya kusambaza vifaa vya uchaguzi kutumia JESHI, in walakini!!!

Yetu macho.:A S 13:
 
Uhamisishaji uendelee mpaka siku yenyewe ya kura...
Mabadiliko muhimu sasa...
 

lipumba awe wa pili? Kwa mikoa ya lindi na mtwara tu? Nahofia kwamba mwaka huu nec imepanga kuleta vurugu kubwa hapa nchini haijiwahi kutokea. Waachane na mpango huo unaosukwa na akina ra na makamba.
duuu hapo sasa ndo pagumu hata kama ataiba na kuingia madarakani ajue wananchi hawakumpa ridhaa yao, ila jk hawezi kukubali chama kimfie yeye kwa njia yeyote ile!
 
Majibu wanayajua ila ushauri wangu kwa watumishi wa UHURU na Mzalendo anzeni kutafua kazi maana hilo gazeti litakufa kifo cha kibiashara baada ya Dr. Slaa na Chadema kukamata Ikulu.
 
Back
Top Bottom