Huyu ni mbaya kuliko Blandina Nyoni kwa kuwa yeye ndiye alipaswa kuwa wa kwanza kutetea madaktari kwa vile ndiye technical officer. Lakini kwa vile Blandina Nyoni alishamwingiza kwenye michongo ya hela za Kampuni ya Ranger ile iliyoleta Bajaj basi naye akabweteka na kuwadharau madaktari. Akisafishwa tu Deo Mtasiwa tunaweka vifaa chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.