Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
nahisi chanzo ni wew mwenyewe...au nimekosea mkuu?
Chanzo ni maneno.
nahisi chanzo ni wew mwenyewe...au nimekosea mkuu?
Mambo ndani ya usalama sasa yanakwenda vibaya,mpango wa kummaliza kabisa Dr Slaa umeiva.
.....
Kundi la pili ni lile la wachawi waliotaka kumuua Mwakyembe kipindi fulani.
Ni kweli kwamba hujui umuhimu wa Dr Slaa katika nchi hii au ni ushabiki tu kwa kisiasa unakufanya usitumie hata busara kidogo?Hivi huyo dr slaa ana umuhimu gani katika nchi hii mpaka watu wapoteze muda wao kummaliza ! aaah upuuuuuzi
We unaamini habari ikianzia wapi? Coz hata media pia wanaotoa habari ni watu.kwanza chanzo cha habari
pili hapo mwenye red juu kabisa dadvua tafadhali
tatu uchawi? una hakika kuwa uchawi ndio ulifanywa katika sakata la mwakyembe nani kathibitisha kuwa ilikuwa uchawi mkuu?
Hivi huyo dr slaa ana umuhimu gani katika nchi hii mpaka watu wapoteze muda wao kummaliza ! aaah upuuuuuzi
Muulize mwenyekiti wako ndo anasimamia huu mpango.Hivi huyo dr slaa ana umuhimu gani katika nchi hii mpaka watu wapoteze muda wao kummaliza ! aaah upuuuuuzi
Nanii ataamiNi Upuuzi huu
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
We unaamini habari ikianzia wapi? Coz hata media pia wanaotoa habari ni watu.