kama huamini rais huyu anaamini uchawi kuliko hata dini yake. Hawa watu wanachokifanya ni vile mkuu wao anavyopenda ionekane hata kama watatumia njia nyingine ya mauji lakini wakimwambia uchawi ndio umefanikisha ...he will feel so good. wanajua vyema weakness zake....he is witch...actually "murderer".Hii ni kali ya mwaka, wamuue kwa uchawi? Wakisha mmaliza kwa ndumba,UN wataunda tume ifanye uchunguzi na itaongozwa na yule mchawi wa Obama anae ishi white house.