Tetesi: Mpango wa Diamond kuchukua uraia wa Kenya umekwama, anataka kwenda Nigeria

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Sep 30, 2015
1,526
3,802
Taarifa niliyoikuta moja na studio za kuandaa muziki nilipokwenda kurekodi nyimbo yangu siku ya jana usiku ni kwamba Diamond alikuwa anataka kuchukua uraia wa Kenya.

Maamuzi hayo ni kufatia kuzuiwa kufanya show ndani na nje ya nchi kwa muda usiojulikana kitu ambacho ndio biashara yake kubwa hivyo asipofanya show inamaana atayumba kwa muda usiojulikana.

Inasemekana alianza mazungumzo na wizara ya mambo ya ndani ya nchini Kenya baada ya kufungiwa ambapo imeonekana ni changamoto. Kwa mujibu wa ''Kenyan Citizenship and Immigration Act of 2011'' mtu anaweza kuwa raia wa Kenya kwa kuomba lakini baada ya kuishi Kenya kwa miaka angalau 7 au awe ameoa raia wa Kenya na wawe kwenye ndoa angalau kwa miaka saba ndipo atapewa ruhusa hiyo.

Lakini Diamond hajaoa Kenya wala hajaishi Kenya kwa kipindi cha miaka saba mfululizo. Inasemekana siku ya juzi na jana Diamond alionekana katika ubalozi wa Nigeria jambo ambalo limetafsiriwa ni kuwa anaangalia uwezekano wa kuhamia Nigeria baada ya kushindwa Kenya.

Tujifunze, pesa ni muhimu lakini pesa si kila kitu. Tukipata tuwe na adabu na hekima, tusiwe na dharau.
 
Hii dunia yote ya Mungu..ukiona bongo michosho unasepa tuu..mbna akina rostam na Mo wamengangania hapa Tanzania na si asili yao....wanamponda mond kuimba matusi wakat wao wanakesha wanatazama porno...ni ujinga, namshaur asepe tena amechelewa....
 
Taarifa niliyoikuta moja na studio za kuandaa muziki nilipokwenda kurekodi nyimbo yangu siku ya jana usiku ni kwamba Diamond alikuwa anataka kuchukua uraia wa Kenya.

Maamuzi hayo ni kufatia kuzuiwa kufanya show ndani na nje ya nchi kwa muda usiojulikana kitu ambacho ndio biashara yake kubwa hivyo asipofanya show inamaana atayumba kwa muda usiojulikana.

Inasemekana alianza mazungumzo na wizara ya mambo ya ndani ya nchini Kenya baada ya kufungiwa ambapo imeonekana ni changamoto. Kwa mujibu wa ''Kenyan Citizenship and Immigration Act of 2011'' mtu anaweza kuwa raia wa Kenya kwa kuomba lakini baada ya kuishi Kenya kwa miaka angalau 7 au awe ameoa raia wa Kenya na wawe kwenye ndoa angalau kwa miaka saba ndipo atapewa ruhusa hiyo.

Lakini Diamond hajaoa Kenya wala hajaishi Kenya kwa kipindi cha miaka saba mfululizo. Inasemekana siku ya juzi na jana Diamond alionekana katika ubalozi wa Nigeria jambo ambalo limetafsiriwa ni kuwa anaangalia uwezekano wa kuhamia Nigeria baada ya kushindwa Kenya.

Tujifunze, pesa ni muhimu lakini pesa si kila kitu. Tukipata tuwe na adabu na hekima, tusiwe na dharau.
Kama anataka uraia wa Zimbabwe mwambie anidipu 0654 400 400 nimuunganishe fasta,hatutaki wapuuzi TZ aende zimbabwe fasta.
 
Nyimbo za diamond hawezi kupata soko Nigeria . Dunia hii kuna mahali inabidi uishi kinafiki, akae kimya miezi 6 kisha akaombe ruhusa kwa dingi mwenye nchi atafunguliwa tu . alikosea kwangwaru kuimba matusi ya wazi (nipatie vya kitandani, hata kwenye kiti). Wakamuacha, sasa nyege nyegezi haingemuacha salama . Tatizo nadhani litaisha akijishusha ila akitaka apotee kimuziki aendeleze kiburi hafiki mbali. Hivi hawezi kuanzisha mradi hata Hotel nzuri(kama anazo bilioni kadhaa kama tunavyoaminshwa kila siku mitandaoni). Kwani Kazi ni muziki tu, kukesha kila siku unaishia kama akina Whitney Houston na Rose Muhando kutumia madawa ya kulevya ili uondoe uchovu kumbe unajimaliza. Diamond amefika peak apende asipende hawezi kwenda juu ya hapo alipo ila anaweza kumaintain kwa kuwa mnyenyekevu. Akicheza atarudi Tandale akiwa kama alivyotoka . wasanii wengi wanaishi above their economic means kwa kuonyesha nje kuwa wako juu , halafu matokeo ni kufilisika .Diamond a some upepo , mzee Mwinyi alisema kila zama na kitabu chake.Awamu ya tano ni kila nafsi ipige magoti na kusifia watawala. Kinyume chake hana future. Hana kiingereza cha kumbeba nigeria na kuanza kujenga soko huko hana . Atulie tu watamsamehe ndani ya mwaka,
 
Uraia sio kama njugu mawe kuwa unachukua tu...
Hujui ukichukua Uraia wa nchi ingune uraia wa Tanzania hufa?
Hujui hutaruhusuwa miliki ardhi?
 
Uraia sio kama njugu mawe kuwa unachukua tu...
Hujui ukichukua Uraia wa nchi ingune uraia wa Tanzania hufa?
Hujui hutaruhusuwa miliki ardhi?
Kumiliki ardhi ya bongo ni lazima?
 
Taarifa niliyoikuta moja na studio za kuandaa muziki nilipokwenda kurekodi nyimbo yangu siku ya jana usiku ni kwamba Diamond alikuwa anataka kuchukua uraia wa Kenya.

Maamuzi hayo ni kufatia kuzuiwa kufanya show ndani na nje ya nchi kwa muda usiojulikana kitu ambacho ndio biashara yake kubwa hivyo asipofanya show inamaana atayumba kwa muda usiojulikana.

Inasemekana alianza mazungumzo na wizara ya mambo ya ndani ya nchini Kenya baada ya kufungiwa ambapo imeonekana ni changamoto. Kwa mujibu wa ''Kenyan Citizenship and Immigration Act of 2011'' mtu anaweza kuwa raia wa Kenya kwa kuomba lakini baada ya kuishi Kenya kwa miaka angalau 7 au awe ameoa raia wa Kenya na wawe kwenye ndoa angalau kwa miaka saba ndipo atapewa ruhusa hiyo.

Lakini Diamond hajaoa Kenya wala hajaishi Kenya kwa kipindi cha miaka saba mfululizo. Inasemekana siku ya juzi na jana Diamond alionekana katika ubalozi wa Nigeria jambo ambalo limetafsiriwa ni kuwa anaangalia uwezekano wa kuhamia Nigeria baada ya kushindwa Kenya.

Tujifunze, pesa ni muhimu lakini pesa si kila kitu. Tukipata tuwe na adabu na hekima, tusiwe na dharau.
Mkuu hauna cha kupost
Jinsi ya kutatua matatizo matatu ya Mwl. Nyerere (Ujinga, Umasikini na Maradhi) - JamiiForums
 
Taarifa niliyoikuta moja na studio za kuandaa muziki nilipokwenda kurekodi nyimbo yangu siku ya jana usiku ni kwamba Diamond alikuwa anataka kuchukua uraia wa Kenya.

Maamuzi hayo ni kufatia kuzuiwa kufanya show ndani na nje ya nchi kwa muda usiojulikana kitu ambacho ndio biashara yake kubwa hivyo asipofanya show inamaana atayumba kwa muda usiojulikana.

Inasemekana alianza mazungumzo na wizara ya mambo ya ndani ya nchini Kenya baada ya kufungiwa ambapo imeonekana ni changamoto. Kwa mujibu wa ''Kenyan Citizenship and Immigration Act of 2011'' mtu anaweza kuwa raia wa Kenya kwa kuomba lakini baada ya kuishi Kenya kwa miaka angalau 7 au awe ameoa raia wa Kenya na wawe kwenye ndoa angalau kwa miaka saba ndipo atapewa ruhusa hiyo.

Lakini Diamond hajaoa Kenya wala hajaishi Kenya kwa kipindi cha miaka saba mfululizo. Inasemekana siku ya juzi na jana Diamond alionekana katika ubalozi wa Nigeria jambo ambalo limetafsiriwa ni kuwa anaangalia uwezekano wa kuhamia Nigeria baada ya kushindwa Kenya.

Tujifunze, pesa ni muhimu lakini pesa si kila kitu. Tukipata tuwe na adabu na hekima, tusiwe na dharau.
Hivi Kenya hakuna honorary citizenship?
 
Sio lazima uwe raia kuishi na kuperfom kenya,anaweza kuishi kama mkazi tu akitoa nyimbo zake na kutupia utube,na atamaintain mashabiki wake,kasoro tu hataweza kufanya show nchini mwake,
kisha baada ya miaka 15 atarudi nchini kwani tayari zama zitakuwa zimebadilika hata BaSata hawataweza kumweka jail tena
 
Akichukua uraia wa nchi nyingine anakuwa ameukana uraia wa Tanzania , non Tanzanian haruhusiwi kumiliki aridhi.


Sasa mpeni kichwa baadae aanze kulia kafilisiwa Mali zake (Majumba na mashamba)
dogo hajasema anataka kuchukua uraia wa nchi nyingine ila kasema anataka kuhamishia kazi zake nchi jirani ambako sheria hazitumiki kuwakomoa watu

yaani mtu ashindwe kwenda US,UK na kwingineko kutuletea dola,paund na euro kuiokoa shilling yetu inayoporomoka kila siku kisa kutumia neno nyege kwenye mashairi ya wimbo wimbo wake
 
Back
Top Bottom