Gody Mnazarayo
Member
- Feb 7, 2019
- 41
- 45
CHADEMA YAFANYA KIKAO CHA GHAFLA ZOOM MEETING KUSUSIA CLOUDS MEDIA
Chadema wamefanya kikao kupitia Zoom Video Meeting lengo ni kuhamasisha wafuasi wao kususia clouds media kwa sababu wanazodai ni kulinda heshima ya Mwenyekiti wao Ndugu Mbowe
Hii inachagizwa na Mahojiano ya leo asubuhi waliofanya na Dc wa Hai Lengai Ole Sabaya, ambae amejibu kwa ufasaha mkubwa hoja za malalamiko yao juu yake na kupelekea mlipuko wa watanzania kujua ukweli na uhalisia wa chuki za chama hicho kwake, Maazimio ya kikao hicho ni kuishambulia media ya clouds Tv na kupinga alichosema Mhe Sabaya.
Chadema wamefanya kikao kupitia Zoom Video Meeting lengo ni kuhamasisha wafuasi wao kususia clouds media kwa sababu wanazodai ni kulinda heshima ya Mwenyekiti wao Ndugu Mbowe
Hii inachagizwa na Mahojiano ya leo asubuhi waliofanya na Dc wa Hai Lengai Ole Sabaya, ambae amejibu kwa ufasaha mkubwa hoja za malalamiko yao juu yake na kupelekea mlipuko wa watanzania kujua ukweli na uhalisia wa chuki za chama hicho kwake, Maazimio ya kikao hicho ni kuishambulia media ya clouds Tv na kupinga alichosema Mhe Sabaya.
Rai yangu ni kuwa chadema wajikite kwenye kuhakikisha Ndugu Mbowe anailinda heshima yake mwenyewe kwa kuyaishi anayoyahubiri majukwaani na sio kuzipangia Media kipi cha kuripoti na kipi cha kuacha maama haitawasaidia kuaminiwa tena na Watanzania hasa kipindi cha awamu ya sita ambayo inaongozwa na Tanzanite Lady Mama yetu kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.