The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Bongo mwanaume kunenepa na kufumuja ni sifa sana.
Kwa hawara ya bibi yakoEti msusie!
Hivi ile kampeni yenu uchwara ya kuvunja laini za voda iliishiishia wapi?
Kwanza walete mrejesho wa kuisusia Vodacom walipata matokeo au walipigwa 10 bila????CHADEMA YAFANYA KIKAO CHA GHAFLA ZOOM MEETING KUSUSIA CLOUDS MEDIA
Chadema wamefanya kikao kupitia Zoom Video Meeting lengo ni kuhamasisha wafuasi wao kususia clouds media kwa sababu wanazodai ni kulinda heshima ya Mwenyekiti wao Ndugu Mbowe
Hii inachagizwa na Mahojiano ya leo asubuhi waliofanya na Dc wa Hai Lengai Ole Sabaya, ambae amejibu kwa ufasaha mkubwa hoja za malalamiko yao juu yake na kupelekea mlipuko wa watanzania kujua ukweli na uhalisia wa chuki za chama hicho kwake, Maazimio ya kikao hicho ni kuishambulia media ya clouds Tv na kupinga alichosema Mhe Sabaya.
Rai yangu ni kuwa chadema wajikite kwenye kuhakikisha Ndugu Mbowe anailinda heshima yake mwenyewe kwa kuyaishi anayoyahubiri majukwaani na sio kuzipangia Media kipi cha kuripoti na kipi cha kuacha maama haitawasaidia kuaminiwa tena na Watanzania hasa kipindi cha awamu ya sita ambayo inaongozwa na Tanzanite Lady Mama yetu kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.
View attachment 1779667View attachment 1779668View attachment 1779670View attachment 1779673
Kwa hiyo,Mataga kwa Mataga yanahojiana!Mgombea viti maalum anamhoji Mataga ,what do you expect?
CHADEMA YAFANYA KIKAO CHA GHAFLA ZOOM MEETING KUSUSIA CLOUDS MEDIA
Chadema wamefanya kikao kupitia Zoom Video Meeting lengo ni kuhamasisha wafuasi wao kususia clouds media kwa sababu wanazodai ni kulinda heshima ya Mwenyekiti wao Ndugu Mbowe
Hii inachagizwa na Mahojiano ya leo asubuhi waliofanya na Dc wa Hai Lengai Ole Sabaya, ambae amejibu kwa ufasaha mkubwa hoja za malalamiko yao juu yake na kupelekea mlipuko wa watanzania kujua ukweli na uhalisia wa chuki za chama hicho kwake, Maazimio ya kikao hicho ni kuishambulia media ya clouds Tv na kupinga alichosema Mhe Sabaya.
Rai yangu ni kuwa chadema wajikite kwenye kuhakikisha Ndugu Mbowe anailinda heshima yake mwenyewe kwa kuyaishi anayoyahubiri majukwaani na sio kuzipangia Media kipi cha kuripoti na kipi cha kuacha maama haitawasaidia kuaminiwa tena na Watanzania hasa kipindi cha awamu ya sita ambayo inaongozwa na Tanzanite Lady Mama yetu kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.
Bahati nzuri huwa siangalii wala kusikiliza hii media ya mashogaCHADEMA YAFANYA KIKAO CHA GHAFLA ZOOM MEETING KUSUSIA CLOUDS MEDIA
Chadema wamefanya kikao kupitia Zoom Video Meeting lengo ni kuhamasisha wafuasi wao kususia clouds media kwa sababu wanazodai ni kulinda heshima ya Mwenyekiti wao Ndugu Mbowe
Hii inachagizwa na Mahojiano ya leo asubuhi waliofanya na Dc wa Hai Lengai Ole Sabaya, ambae amejibu kwa ufasaha mkubwa hoja za malalamiko yao juu yake na kupelekea mlipuko wa watanzania kujua ukweli na uhalisia wa chuki za chama hicho kwake, Maazimio ya kikao hicho ni kuishambulia media ya clouds Tv na kupinga alichosema Mhe Sabaya.
Rai yangu ni kuwa chadema wajikite kwenye kuhakikisha Ndugu Mbowe anailinda heshima yake mwenyewe kwa kuyaishi anayoyahubiri majukwaani na sio kuzipangia Media kipi cha kuripoti na kipi cha kuacha maama haitawasaidia kuaminiwa tena na Watanzania hasa kipindi cha awamu ya sita ambayo inaongozwa na Tanzanite Lady Mama yetu kipenzi Mhe Samia Suluhu Hassan.
View attachment 1779667View attachment 1779668View attachment 1779670View attachment 1779673
Clouds ni Wapuuzi sana! Uzuri watanzania wengi Leo hii wana akili timamu; ukiviona vifanyakazi vya Clouds vinajifanya kama vile viko mbinguni