Mpango uliovuruga mbwembwe za EX-Girlfriend

Mimi nilikuwa maskini sana, nikaenda abroad nikashika milioni 140 kwa mwaka. Nikaja tz ku-show off. Nikachezea muda na hela sana kupata furaha feki na watu ambao mambo yalipoharibika baadae walinitupa wote.

Mungu akasaidia nikarekebisha mambo na kupata $$ ya kutosha. Naishi maisha yangu ya furaha wala sihitaji ku-show off. Nyumba zipo magari yapo, ila mara moja moja napanda daladala au hata toyo. Heshima yangu iko palepale hata nipande toyo sababu watu wanajua nilivyojijenga kiuchumi.

Ni vizuri kupata heshima halisia na sio sababu ya ku-show off
Hata andika yako tu nauhakika una hela tatizo sisi tusio na hela badala ya kujifunza tunaleta wivu
 
Mambo ya kishamba sana...ingelikua mimi ningekausha tu kama unaenda sehemu peke yako unaenda peke yako..mambo sijui kushindana na mwanamke unawaachia wanawake...
Ushamba ni subjective term, kila mtu ana aina ya mambo ambayo kwa wengine ni ushamba.
 
Mwenye huu uzi kwa akili aliyonayo sijui ilikuwaje akawa mjumbe wa kamati muhimu hivi.
 
Huo mda mnapata wap wapi? Au harusi ilikua haina pombee?? Unaacha kudeal na pombe unahangaika na wanawake??
 
Tatizo ni utapindua meza mara ngapi? Yani dunia hii kuumizwa kupo tu. Utajihusisha na huyo chotara, atakuacha kisha utataka kumwonyeshea tena nk. Hakuna sababu ya kuonyesheana na mtu. Demu alikuwa anajionyesha na workmate wake, na ww ukaamua kumwonyeshea. Alikuingiza mkenge, na ww ukazama. Ukaingia gharama nk. Furaha uliyoipata ni ya muda mfupi. Pambana upate amani ya ukweli. Kama ni $$$, basi pambana uwe nazo. Kama ni familia, pambana uwe nayo. Hayo ya kupindua meza wala hayana mantiki. Hapo hata huyo mwanamke atakuheshima heshima unayistahili. Na sio heshima ya ku-show off.
Utakuwa ccm tu wewe
 
Utakuwa ccm tu wewe
Wala mimi sio CCM. Ni independent voter. Japo kiukweli ningependa upinzani uongoze Tz. Nchi yetu imeongozwa na CCM miaka takribani 60 sasa lakini hali kwa wengi bado ni mbaya sana. Ingekuwa vema kuona CDM wanashikilia nchi nao.
 
Back
Top Bottom