Mpango kuwapa Fomu wagombea wa vyama visivyo wabunge wavuja

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,794
71,214
Baada ya Vyama vikuu vya upinzani kuonyesha nia ya kujitoa uchaguzi serikali za mitaa, vyama visivyo wabunge kama DP, UDP, CHAUSTA,TLP nk viliandaliwa kutoa counter attack kuwa wao wanaona uchaguzi uko huru na watashiriki.

Mahesabu yaligundulika kuwa yamekosewa kwani vyama hivyo havikuwa na wagombea wakutosha kuonyesha ushiriki wao na mbaya zaidi hata hao wameenguliwa na muda wa kutoa fomu nyingine haupo tena sasa ushiriki wao utaonekanaje?

Njia ya kufanya ni kuwachomeka wagombea kwa kuwapa fomu na kuzijaza warudishe sasa ili waonekane wanashiriki kwa wingi.

Kikwazo ni wagombea wa CCM waliokuwa wameamini wameshapita bila kupingwa kuambiwa sana washindani. Wako tayari kuweka siri hiyo hadharani.

Kila mpango wa shetani lazima uvurugike na siri kufichuka.
 
Baada ya Vyama vikuu vya upinzani kuonyesha nia ya kujitoa uchaguzi serikali za mitaa, vyama visivyo wabunge kama DP, UDP, CHAUSTA,TLP nk viliandaliwa kutoa counter attack kuwa wao wanaona uchaguzi uko huru na watashiriki.
Mahesabu yaligundulika kuwa yamekosewa kwani vyama hivyo havikuwa na wagombea wakutosha kuonyesha ushiriki wao na mbaya zaidi hata hao wameenguliwa na muda wa kutoa fomu nyingine haupo tena sasa ushiriki wao utaonekanaje?
Njia ya kufanya ni kuwachomeka wagombea kwa kuwapa fomu na kuzijaza warudishe sasa ili waonekane wanashiriki kwa wingi.
Kikwazo ni wagombea wa CCM waliokuwa wameamini wameshapita bila kupingwa kuambiwa sana washindani. Wako tayari kuweka siri hiyo hadharani.
Kila mpango wa shetani lazima uvurugike na siri kufichuka.
Wakifanya hivyo ndolitakua jambo la kijinga kufanywa na CCM, hawakuweza kuliona mapema waache lipite wajipange kwenye uchaguzi wa wabunge
 
Baada ya Vyama vikuu vya upinzani kuonyesha nia ya kujitoa uchaguzi serikali za mitaa, vyama visivyo wabunge kama DP, UDP, CHAUSTA,TLP nk viliandaliwa kutoa counter attack kuwa wao wanaona uchaguzi uko huru na watashiriki.
Mahesabu yaligundulika kuwa yamekosewa kwani vyama hivyo havikuwa na wagombea wakutosha kuonyesha ushiriki wao na mbaya zaidi hata hao wameenguliwa na muda wa kutoa fomu nyingine haupo tena sasa ushiriki wao utaonekanaje?
Njia ya kufanya ni kuwachomeka wagombea kwa kuwapa fomu na kuzijaza warudishe sasa ili waonekane wanashiriki kwa wingi.
Kikwazo ni wagombea wa CCM waliokuwa wameamini wameshapita bila kupingwa kuambiwa sana washindani. Wako tayari kuweka siri hiyo hadharani.
Kila mpango wa shetani lazima uvurugike na siri kufichuka.
Upinzani needs a new approach. (niliweka uzi JF mods wakaufuta- nikisisitiza kuwa Upinzani needs a new approach). kama siyo Nyerere kumpiga Idd Amin, mpaka leo Idd Amin angelikuwa anaendelea kuwaua waganda! angelikuwa bado mtawala
 
Baada ya Vyama vikuu vya upinzani kuonyesha nia ya kujitoa uchaguzi serikali za mitaa, vyama visivyo wabunge kama DP, UDP, CHAUSTA,TLP nk viliandaliwa kutoa counter attack kuwa wao wanaona uchaguzi uko huru na watashiriki.
Mahesabu yaligundulika kuwa yamekosewa kwani vyama hivyo havikuwa na wagombea wakutosha kuonyesha ushiriki wao na mbaya zaidi hata hao wameenguliwa na muda wa kutoa fomu nyingine haupo tena sasa ushiriki wao utaonekanaje?
Njia ya kufanya ni kuwachomeka wagombea kwa kuwapa fomu na kuzijaza warudishe sasa ili waonekane wanashiriki kwa wingi.
Kikwazo ni wagombea wa CCM waliokuwa wameamini wameshapita bila kupingwa kuambiwa sana washindani. Wako tayari kuweka siri hiyo hadharani.
Kila mpango wa shetani lazima uvurugike na siri kufichuka.
Hii ni habari yako mwenyewe!
 
Upinzani needs a new approach. (niliweka uzi JF mods wakaufuta- nikisisitiza kuwa Upinzani needs a new approach). kama siyo Nyerere kumpiga Idd Amin, mpaka leo Idd Amin angelikuwa anaendelea kuwaua waganda! angelikuwa bado mtawala

Ameshakufa Amin kwa hiyo asingekuwa mtawala leo.
 
Alifukua makaburi yote na wote walikabiliana na mkono wa sheria mambo ya kulindana yaliisha
Sky, katika hali hii ya Jiwe, upinzani ufanye nini? Nilikuwa nimemaliza form six nimetoka jeshini wakati wa Idd Amin, alianza kama Jiwe alivyoanza. Wapinzani Uganda walikuwa na imani kuwa atabadilika, kama watu wanavyomuona Jiwe. Ilifika kama tulipofika wakaona kuwa huyu amedhamiria KUUA kila chochote asichokipenda , kiwe ni katiba, sheria watu etc. Wasomi, weledi waka opt kukimbia nchi. Wakabaki "CCM" ambao nao wengi wao aliwaua... as time went on! Mkombozi wao akawa Nyerere!
 
Sky, katika hali hii ya Jiwe, upinzani ufanye nini? Nilikuwa nimemaliza form six nimetoka jeshini wakati wa Idd Amin, alianza kama Jiwe alivyoanza. Wapinzani Uganda walikuwa na imani kuwa atabadilika, kama watu wanavyomuona Jiwe. Ilifika kama tulipofika wakaona kuwa huyu amedhamiria KUUA kila chochote asichokipenda , kiwe ni katiba, sheria watu etc. Wasomi, weledi waka opt kukimbia nchi. Wakabaki "CCM" ambao nao wengi wao aliwaua... as time went on! Mkombozi wao akawa Nyerere!
Watanzania ni waoga sana, suluhisho ni raia kuingia mtaani lakini kuwe na organisational structure amasivyo itakuwa ni vurugu tu. au jeshi kuchukua hatua na kufanya nae dili kuwa akubali kuondoka bila kitiwa hati ani.

Sitaki kuitwa mchochezi mkuu.
 
Watanzania ni waoga sana, suluhisho ni raia kuingia mtaani lakini kuwe na organisational structure amasivyo itakuwa ni vurugu tu. au jeshi kuchukua hatua na kufanya nae dili kuwa alibaki kuondoka bila kitiwa hati ani.

Sitaki kuitwa mchochezi mkuu.
We need foreign intervention be it diplomatic or military (military---which is very unlikely anyway as "mabeberu" kama CCM inavyowaita have no vested interest in Tanzania)
Nami staki niwe mchochezi, it is just for curiosity tulipofikia hapa.
 
Mleta mada umepigika Sasa umeanza kuweweseka chochote kinachokujia kichwani wazimu wako ukipanda unaandika.Wahi mirembe hospitali kabla Hali haijafikia beyond control
 
We need foreign intervention be it diplomatic or military (military---which is very unlikely anyway as "mabeberu" kama CCM inavyowaita have no vested interest in Tanzania)
Nami staki niwe mchochezi, it is just for curiosity tulipofikia hapa.
Ndipo tunapoona umuhimu wa Lissu kutokurudi sasa maana haitasaidia kwani anaweza kujikuta anaishia jela au kufa kabisa. Movements anazofanya huko nje za kuweka wazi yanayo endelea hapa nchini zinatakiwa zipate support ya ndani.
Pia vijana wasomi walio ndani ya vyombo vile vya ulinzi na usalama waonyeshe kukataa kuwekwa mifukoni na wanasiasa watawala ili tuzalishe kina Jerry Rwallings, Sankara nk.
Ila kama ulivyo sema, ushauri waweza kuitwa uchochezi, ngoja tusubiri. Lakini bila kubadili approach aina hii ya kiongozi hatutaimudu!
 
Back
Top Bottom