Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Kampuni za simu hasa VODACOM NA ZAIN zinatoza bei kubwa ktk huduma ya kupiga simu iwe wenyewe kwa wenyewe au kuenda mtandao mwingine.
Ninaposema gharama zao ni kubwa mno nalinganisha na washindani wao,yaani TiGO na Zantel.
Wadau,kwa nini tusigome kutumia huduma zao ili kushinikiza punguzo la gharama zao.
Mimi kwa kuanza nitakuwa sipigi simu kwa kutumia mitandao hiyo.
Tuache kulalamika tuchukue hatua
Ninaposema gharama zao ni kubwa mno nalinganisha na washindani wao,yaani TiGO na Zantel.
Wadau,kwa nini tusigome kutumia huduma zao ili kushinikiza punguzo la gharama zao.
Mimi kwa kuanza nitakuwa sipigi simu kwa kutumia mitandao hiyo.
Tuache kulalamika tuchukue hatua