Mpaka wa Malawi na Tanganyika uko hapa!!!!

Eng Kimox Kimokole

JF-Expert Member
Jun 9, 2010
1,032
759
Hawa Wamalawi wasintanie kabisa, Babu yangu kasema Mpaka wa Tanganyika na Malawi uko hapa

map_of_malawi.jpg

malawi.jpg

Hizi sehemu zote zetu hizi
  1. Karonga
  2. Rumphi
  3. Mzuzu
  4. Chitipa
  5. Nkhata

Tena wakae mbali maana tutakuja kudai sehemu yetu haiwezekani bana!!!!
 
RAMANI GANI HAINA HATA uFUNGUO?Tatizo hujui kusoma ramani kwa mtazamo wako hayo maeneo yapo Tanzania .Geographia ya darasa la 5 inatosha.
 
RAMANI GANI HAINA HATA uFUNGUO?Tatizo hujui kusoma ramani kwa mtazamo wako hayo maeneo yapo Tanzania .Geographia ya darasa la 5 inatosha.

Wewe ni mmalawi nini???hata kama kakosea ila uzalendo mbele chalii angu....
Mandingo huyo jamaa inawezekana ni Mmalawi, atulie tu halafu waendelee na zozo lao la kung'ang'ania ziwa
akiingia Rais mwehu akatangaza kuchukua hiyo sehemu watatulia wenyewe
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu, ni vizuri kuhamasisha fikra mpya zenye ubunifu. Kmox Kmokole mimi ninakukubali kwa ubunifu. Endelea kiongozi usikatishwe tamaa na wenye wivu. Kama kunakitu hajaelewa mtu ama anaona kuna upungufu si aulize au ashauri? Kutokutoa marks hata panapostahili ni dalili ya wivu. Mtu akifanya jambo zuri, tumtie moyo jamani. Keep it up Kmox. Endelea kututolea vitu vya kibunifu utafika mbali.
 
Hii ya leo kali.

Tena kali kwelikweli

Ndugu zangu, ni vizuri kuhamasisha fikra mpya zenye ubunifu. Kmox Kmokole mimi ninakukubali kwa ubunifu. Endelea kiongozi usikatishwe tamaa na wenye wivu. Kama kunakitu hajaelewa mtu ama anaona kuna upungufu si aulize au ashauri? Kutokutoa marks hata panapostahili ni dalili ya wivu. Mtu akifanya jambo zuri, tumtie moyo jamani. Keep it up Kmox. Endelea kututolea vitu vya kibunifu utafika mbali.
Tabby inabidi tuenende nao sawasawa na wao wanachokitaka, Wanataka ziwa lote la Malawi/Nyasa, nasi yatupasa kudai hicho kijisehemu kirudi Tanganyika.
 
Back
Top Bottom