Mpaka Vazi la Spika wanashonea uingereza!! Utumwa wa mawazo huu, washonaji wa kitanzania hawapo, na hizo pes zote hizo?
Wakati huo huo, Bw. Sitta, aliwafahamisha wabunge kuwa jana alikuwa amevaa joho jipya lililofumwa na nyuzi za dhahabu.
``Kwa wale ambao hawajagundua, Spika leo amevalia joho jipya. Lile la zamani lilikuwa limechakaa,`` alisema Spika.
Alisema vazi hilo ambalo huchakaa baada ya miaka 12 hadi 15, limeshonwa na mafundi maalum mjini London, nchini Uingereza.
Wakati huo huo, Bw. Sitta, aliwafahamisha wabunge kuwa jana alikuwa amevaa joho jipya lililofumwa na nyuzi za dhahabu.
``Kwa wale ambao hawajagundua, Spika leo amevalia joho jipya. Lile la zamani lilikuwa limechakaa,`` alisema Spika.
Alisema vazi hilo ambalo huchakaa baada ya miaka 12 hadi 15, limeshonwa na mafundi maalum mjini London, nchini Uingereza.