Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,916
Ziara zilizompeleka Mh. Rais Katika mikoa kadhaa zimekuwa za mafanikio makubwa sana.
Rais amefanikiwa kuyafahamu maeneo korofi yanayokwamisha maendeleo na kuyatolea suluhu yake hapo hapo jambo ambalo limemuongezea imani kubwa toka kwa wananchi.
Viongozi na watendaji wenye kasi ya kusua wameonekana wazi na kurekebishika.
Miradi ya maendeleo iliyokuwa imelala sasa imepata mwamko kwa nguvu inayohitajika.
Faida za ziara za Rais ni kubwa na wananchi kila anakopita wanaonesha kwa kiasi kikubwa kuridhishwa na utendaji wa kiongozi wao.
Hili jambo ni jema linapaswa kuendelea.
Rais amefanikiwa kuyafahamu maeneo korofi yanayokwamisha maendeleo na kuyatolea suluhu yake hapo hapo jambo ambalo limemuongezea imani kubwa toka kwa wananchi.
Viongozi na watendaji wenye kasi ya kusua wameonekana wazi na kurekebishika.
Miradi ya maendeleo iliyokuwa imelala sasa imepata mwamko kwa nguvu inayohitajika.
Faida za ziara za Rais ni kubwa na wananchi kila anakopita wanaonesha kwa kiasi kikubwa kuridhishwa na utendaji wa kiongozi wao.
Hili jambo ni jema linapaswa kuendelea.